Uchaguzi 2020 Jaji Mihayo, kemea viongozi wa kisiasa wenye tamaa Taifa lipone

Uchaguzi 2020 Jaji Mihayo, kemea viongozi wa kisiasa wenye tamaa Taifa lipone

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Nimemsikia Jaji Mstaafu Mihayo akiwaomba viongozi wa dini wasimame kuilinda na kuitetea amani ya Tanzania. Naamini Jaji anajua tatizo lipo kwa watawala na si viongozi wa dini. Yeye akiwakemea na viongozi wa dini wakawakemea wataona aibu na wataanza kukataliwa na mwisho watajirekebisha.

Kutowakemea watawala huku tukijua wao ndio chanzo Cha uvunjifu wa amani tutakua tunawapa mzigo usiowastahili viongozi wa dini.

Hakuna dina inaweza kukemea uongo bali ipo dini yakuwaeleza waongo kwamba ni waongo. Hakuna dini itakemea upendeleo wa kisiasa na dua ikapokelewa, dua itakayopokelewa Ni ile inayowakemea wanaofanya upendeleo na kupindisha haki.

Tuwakemee wanasiasa hasa watawala ili Taifa lipone.
 
Jaji Mihayo Mzee wangu namuhurumia. Hawezi kukemea mfumo uliomlea.
 
Huyu Jaji Mihayo ni mmoja wa anetuhumiwa kuvuruga pale NEC ili msukuma mwenzie Meko ashinde uchaguzi huu..
Jaji wa ovyo kabisa.
 
Huyu aliyepelekwa NEC kwa kazi maalum na Jiwe wala hatusumbui
 
Damu nyingi atabeba yeye kushiriki kwenye udhalimu na TUME
 
Back
Top Bottom