Jaji Mjulizi ateuliwa kuwa m/kiti tume ya marekebisho ya sheria

Jaji Mjulizi ateuliwa kuwa m/kiti tume ya marekebisho ya sheria

kajunju

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2011
Posts
999
Reaction score
317
Rais kikwete amemteua jaji mujulizi aloys kuwa m/kiti tume ya marekebisho za sheria. Kabla ya hapo alikuwa chuo cha mahakim lushoto. Kama mtakumbuka wakti wa kesi ya mh lema. Alikataliwa na wakili wa lema kuwa aliusika na deep green,kagoda scandal. Kabla ya kuteuliwa jaji alikuwa wakili mwenza Imma advocate. Chanzo channel 10
 
Alipewa ujaji baada kumpa ajira Riz1 wakati ule akiwa bado hajajua nini cha kufanya au kutumia ki memo kupata shares na deal zote serikalini!
 
Back
Top Bottom