Jaji Mkuu anapaswa kuomba Magereza yaongezwe au anapaswa kusaidia kupunguza mahabusu Magereza?

Jaji Mkuu anapaswa kuomba Magereza yaongezwe au anapaswa kusaidia kupunguza mahabusu Magereza?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Ukishangaa ya Musa utastaajabu ya firauni, nchi hii tunazidi kupoteana na Kama siyo kupoteana Basi tunazidi kuzama. Unapomsikia Jaji Mkuu akaiomba Magereza yaongezwe lazima ushangae, maana Magereza yaliyopo sasa yamejaa mahabusu.

Badala akae na Watumishi wa mahakama wajadili kupunguza mahabusu yeye anawaza kutumia fedha za walipa kodi kujenga Magereza mapya. Ningemwona anawaza vyema endapo hata angesisitiza yaliyopo yaboreshwe lakini wapi.

Kwa mentality hizi na kwakuzingati namna majaji wanavyopatikana ni wazi hakuna muhimili unaojitambua yote ipo kwa ajili ya mishahara na marupurupu
 
CCM ndiyo iliyompa kazi lazima afuate maelekezo ya chama.

Kwa sasa tunahangaika na gaidi Mbowe....atupatie ushirikiano kama kazi yake anaipenda.
 
Kama majaliwa aliwahi kwenda kuzindua gereza unashangaa ya jaji mkuu[emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom