Jaji mkuu kuapisha mawakili zaidi ya mia tatu tisini tarehe 17/12/2010

Mushobozi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2007
Posts
543
Reaction score
103
Wajameni kwa mara ya kwanza tanzania itakuwa na vijana wengi wa kuapishwa kuwa mawakili. Huu ni mwanzo na labda ukumbusho wakati jajai huyu mkuu akiwa katika kipindi chake cha kustaafu.
 
The market force will determine their worth
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…