Jaji Mkuu mstaafu Willy Mutunga atinga ofisi za DCI kuwatetea Waandamanaji waliokamatwa!

Jaji Mkuu mstaafu Willy Mutunga atinga ofisi za DCI kuwatetea Waandamanaji waliokamatwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Jaji Mkuu mstaafu wa Kenya mh Willy Mutunga ametimba ofisi ya DCI kuwatetea vijana wa Gen Z ambao wanashikiliwa na Polisi

Mutungi amesema hali itakuwa mbaya zaidi pale Wazazi watakapoamua kuungana na watoto wao kwenye maandamano nchi nzima

Source: Citizen TV
 
Jaji Mkuu mstaafu wa Kenya mh Willy Mutunga ametimba ofisi ya DCI kuwatetea vijana wa Gen Z ambao wanashikiliwa na Polisi

Mutungi amesema hali itakuwa mbaya zaidi pale Wazazi watakapoamua kuungana na watoto wao kwenye maandamano nchi nzima

Source: Citizen TV
Kumbe kuna baadhi wenye akili
 
Jaji Mkuu mstaafu wa Kenya mh Willy Mutunga ametimba ofisi ya DCI kuwatetea vijana wa Gen Z ambao wanashikiliwa na Polisi

Mutungi amesema hali itakuwa mbaya zaidi pale Wazazi watakapoamua kuungana na watoto wao kwenye maandamano nchi nzima

Source: Citizen TV
Hongera zake Sana huyo Jaji Mstaafu wa Kenya. Afrika Watu wenye akili Kama zake wapo wachache Sana kupita kiasi.
 
Hapa kwetu Spika wa Bunge mstaafu amesusa ata kuchangia chochote Bungeni hadi kichekesho.
 
Back
Top Bottom