Jaji Mustapha Siyani ataanza upya kusikiliza mapingamizi yaliyomfanya Jaji Elinaza kujitoa au anaendeleaje na kesi?

Uko sahihi kabisa rejea kesi ya kina Zombe Jaji Salum Masati akitoa hukumu alisema siyo kazi yake kuwafundisha Jamhuri namna ya kushtaki na aliwaachia huru na kuwaambia wamefanya uzembe wenyewe kwa kung'ang'ania shtaka ambalo linahitaji ushahidi mzito kuishawishi mahakama.
 
Ili haki itendeke (au ionekane kwamba inatendeka), ingekuwa vizuri kwa Jaji mpya kuanzia kwanzoni ili ajiridhishe kwamba Mahakama yake inao uwezo wa kusikiliza na kuhukumu kesi ya ugaidi au la ukizingatia kwamba lengo la mwendazake lilikuwa ni kuanzisha mahakama maalum ya mafisadi na wahujumu uchumi sasa hatujui kama na kipengele cha ugaidi kiliingizwa kwenye muundo wake. Kimsingi majaji wote wa hiyo mahakama wakae ili watoe hukumu jumuishi juu ya uwezo wa mahakama yao au vinginevyo mahakama kuu ingetoa maamuzi kama ingehusishwa.
 
Kwa hiyo mradi tu ashtakiwe hata kama kesi ni ya kubumba ?!. Wafuasi wa watawala mnavunja mioyo sana kwa fikra zenu na roho mbaya mliojivika
 
Sahihi kabisa mkuu
 
Ilikuwa utawa wa JK mahakama zilikuwa huru siyo wa huyu dikteta
 
Achana na huyo mjinga.
 
Usidanganye wala kufikiri majaji wanaendesha kesi kwa mujibu wa fraternity kama wana CCM wanavyoteteana au kama ma lecturer wa UDSM wanavyotetea ujinga humu JF ili wapewe teuzi na kama walisoma FOE wapewe tender.

Ungekuwa umesoma masomo mliyoyaita ya "ungwini" akili yako ingetambua kuwa High Court na Court of Appeal kuna dissenting decision nyingi tu za jaji kukataa maamuzi ya wenzake.

Ukiachilia mbali dissenting judgment kuna Review ambazo jaji anaweza kugeuza maamuzi yake.

Hii yote ni kwa sababu jaji anafanya kazi kwa mujibu wa sheria na siyo fraternity iliyokunata kichwani mwako.


Ni vigumu sana kumkataa Jaji kwenye kesi yako, halafu ukategemea kuwa huyo jaji mwingine atakayeichukua atakuwa tofauti sana na uliyemkataa; wana fraternity yao.
 
Jaji au Hakimu ni muamuzi wa mchezo hayuko hapo kwaajili yakuamua upande mmoja na maamuzi yanatokana na Hoja zinazowasilishwa na pande zote Mbili uliona wapi muamuzi anatoa maelekezo ya namna yakufungua kesi

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 

Ni kwa kutokana na kuwa wanategemewa kuwa objective, ndiyo maana hawapendi kuletewa mambo ya kiharakati ya kupinga kuwa hatuna confidence na hakimu au juji fulani bila kuwa na sababu yoyote ya maana bali kwa kuhuisi tu.

Jiulie, kwani kesi iliyokuwa inatetewa na fatma karume kiharakati niliyoweka hapo iliishia wapi
 
Mkuu unawezaje kuuliza jitu jinga kama hilo maswali yote hayo?! Kama akijibu itakuwa upupu mwingi mwingine tu!!
 
Mbwa hata awe mkali vipi haumi mkia wake
 
Unarudi kwenye mawazo yaleyale. Hakuna kesi duniani inaamriwa kiharakati. Kesi zinaamriwa kwa mujibu wa sheria.

Ni kama mambo uliyoyasoma ya engineering hayaamuliwi kama uanaharakati wa kuongoza migomo ya FOE bali kwa sheria kama Newton's law, Avogadro's law, Archimedes Principle nk.


 
Ndiyo maana ni makosa kujitetea kesi mahakamani kiuharakati kwani bado itaamriwa kisheria, siyo kiuharakati.
 
Kesi hii imepoteza uhalisia wake. Kitakachofuata ni Mbowe kufutiwa kesi.
 
Kisheria,minor mistakes ni nini?
Akili ndogo sana hizi.
 
Unataka kuniambia mawakili wa Utetezi hawakuw na Hoja?

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Unataka kuniambia mawakili wa Utetezi hawakuw na Hoja?

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Wanasheria wana kitu wanaita technicalities kwenye paperwork za kesi; wanasheria wasiokuwa na nguvu hupenda kuiambia mahakama ifute kesi kwa sababu ya makosa ya technicalities. Lakini sijawahi kuona mtuhumiwa anaachiwa huru kwa sababu aliyemfikisha mahakamani alifanya makosa ya technicalities, na hivyo kufanya shauri lote lisisikikilizwe na mhakama. kazi ya mahakama ni kutafuta ukweli wa shauri lote, huwa haitafuti technicalities katika presentation ya shauri hilo.

Miaka ya hivi karibuni utetezi mkubwa wa Kibatala umekuwa ni kwenye technicalities tu, siyo kwenye facts za kesi. Ningependa nimwone Kibatala anavyofanya cross examination kwani ndiyo njia pekee ya kiufundi ambayo wanasheria hutumia kupata ukweli wa shauri la kesi, siyo technicality kwenye paperwork
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…