Jaji Mutungi: Kesi ya nyani huwezi kumpelekea ngedere ndio maana mkutano wa vyama vya siasa utaongozwa na mtu huru

This without any doubt is a mental case.

 
Kama Msajili anajitambua kabisa yeye si mtu huru,tumwelewe vipi kwenye maamuzi mengine?
Tunataka kujua kwanini yeye si mtu huru na upande alioegemea ni upi na kwa nin?
 
Huyo mtu huru/taasisi huru ni nani/ni ipi!?

 
Humtakii mema unataka afutwe kazi na boss wa ziro
 

Pole pole dawa inawaingia:



Wabakie kuwa wao ni ngedere wanaoletewa kesi za nyani.

Makamanda: Forum kama ni huru kweli si mbaya kwenda na kuendelea kuwananga ngedere hawa walioukiri ungedere wao wenyewe.

Hii inaweza kuwa fursa nyingine ya kuendelea kuwakaanga kwa mafuta yao wenyewe kama walivyokuwa kina Kingai na sasa tunajua wao ndiyo wasiojulikana.

Kwamba sasa tunajua nani wanaopaswa kutuonyesha walipo kina Lijenje, Ben, Azory na wote. Mungu atupe nini makamanda?

Mapendekezo: Msimamizi awe huru kweri kweri. Watu kama wale mabalozi wa mabeberu wangetufaa sana kwenye hili kama taifa.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
4.Maria Sarungi 5.Fatma Karume.

..kama itashindikana kupata msuluhishi toka nje ya nchi wanaweza kuwajaribu hawa Majaji wastaafu.

..Jaji Mkuu mstaafu Barnabas Samatta.

..Jaji Mkuu mstaafu Mohamed Chande Othman

..Jaji Kiongozi mstaafu Amiri Manento.

..Panahitajika msuluhishi anayejua SHERIA na KATIBA na ambaye hajawahi kuhusika ktk siasa za vyama.
 
Huo mkutano ukiongozwa na mtu huru mapendekezo yake yatafanyiwa kazi na serikali ya CCM hata kama hayatawafurahisha CCM?

Huyo mtu huru atapatikana kwa utaratibu upi? asijekuitwa huru kumbe ana kadi ya CCM mfukoni.

Kama ilivyo kwa
Wakuu wa vyombo vya usalama
Majaji
Wakuu wa mikowa, wilaya
Wakurugenzi
Nk

Wote wanamadi ya ccm
 
Huo mkutano ukiongozwa na mtu huru mapendekezo yake yatafanyiwa kazi na serikali ya CCM hata kama hayatawafurahisha CCM?

Huyo mtu huru atapatikana kwa utaratibu upi? asijekuitwa huru kumbe ana kadi ya CCM mfukoni.

Mtu huru?

Vipi mabalozi waliomsindikiza Lissu salama?

Vipi majaji wa mahakama kuu au ya rufani?

Vipi kama wanaturuhusu tupendekeze sisi mtu huru?

Vipi sote tukishirikiana kumpata mtu huru?
 
Kuna kipindi kwenye maisha nilikuwa nikisikia mtu anaitwa Jaji nilikuwa nawaza vingine kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…