Jaji wa Mahakama Kuu au Mahakama ya Rufaa Tanzania ku-overtake kwenye mstari ulionyooka au alama za wavuka kwa miguu sio maajabu kweli?

Jaji wa Mahakama Kuu au Mahakama ya Rufaa Tanzania ku-overtake kwenye mstari ulionyooka au alama za wavuka kwa miguu sio maajabu kweli?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Mara kadhaa nimeona magari yenye utambulisho Jaji wa Mahakama kuu ya Tanzania na ule wa jaji wa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania kuzipita gari nyingine wakati alama ya barabarani hairuhusu.

Pia, kuzipita gari nyingine kwenye alama ya kuvuka barabara watembea kwa miguu. Je, kama majaji hawa wanakuwa ndani ya magari hayo hawashushi hadhi ya nyazifa zao?

Iweje mwamuzi wa nani ana haki anavunja sheria za barabarani? Inakuwaje polisi wa usalama barabarani hawawakamati na kuwafikisha mahakamani au kuwatwanga faini?

Au ili jambo ambalo kwangu ni maajabu lipo Tanzania tu? Na kwa nini Tanzania pekee, kama lipo Bongo pekee?
 
Sheria zimewekwa ili wewe uzifuate siyo mimi...
 
Ukiona mambo hayo yanafanyika ndani ya nchi yako, yaani sheria zinatafsirika tofauti kutegemeana na status yako, elewa unaishi ni a shithole country.President H&H msafara wake ,unaweza kupishana nao bila hata ya kujua ni presidential motorcade!,na hii ni Africa hapa hapa na jirani zetu
 
Mara kadhaa nimeona magari yenye utambulisho jaji wa mahakama kuu ya Tanzania na ule wa jaji wa mahakama ya rufaa ya Tanzania kuzipita gari nyingine wakati alama ya barabarani hairuhusu.

Pia, kuzipita gari nyingine kwenye alama ya kuvuka barabara watembea kwa miguu. Je, kama majaji hawa wanakuwa ndani ya magari hayo hawashushi hadhi ya nyazifa zao?

Iweje mwamuzi wa nani ana haki anavunja sheria za barabarani? Inakuwaje polisi wa usalama barabarani hawawakamati na kuwafikisha mahakamani au kuwatwanga faini?

Au ili jambo ambalo kwangu ni maajabu lipo Tanzania tu? Na kwa nini Tanzania pekee, kama lipo Bongo pekee?
Mkuu ungeweka picha, insongea zaidi.
Kuna wakati niliweka picha ya gari ya jeshi ikipita red light.
At least kilio kilisikika.
 
Mara kadhaa nimeona magari yenye utambulisho jaji wa mahakama kuu ya Tanzania na ule wa jaji wa mahakama ya rufaa ya Tanzania kuzipita gari nyingine wakati alama ya barabarani hairuhusu.

Pia, kuzipita gari nyingine kwenye alama ya kuvuka barabara watembea kwa miguu. Je, kama majaji hawa wanakuwa ndani ya magari hayo hawashushi hadhi ya nyazifa zao?

Iweje mwamuzi wa nani ana haki anavunja sheria za barabarani? Inakuwaje polisi wa usalama barabarani hawawakamati na kuwafikisha mahakamani au kuwatwanga faini?

Au ili jambo ambalo kwangu ni maajabu lipo Tanzania tu? Na kwa nini Tanzania pekee, kama lipo Bongo pekee?
Ni kosa tena ni kosa kubwa sana. Ku-overtake sehemu ya waenda kwa miguu ni hatari na unaweza kusababisha ajali.
 
Back
Top Bottom