johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jaji Warioba anasema katika kipindi cha miaka 60 ya Uhuru wa nchi yetu bado Ajira kwa vijana ni tatizo kubwa.
Jaji Warioba ameshauri mfumo wa elimu uangaliwe upya.
CHanzo: BBC Dira ya Dunia!
Jaji Warioba ameshauri mfumo wa elimu uangaliwe upya.
CHanzo: BBC Dira ya Dunia!