Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 489
Jaji Warioba ameonesha kufadhaishwa na jinsi vyama vya siasa vinavyowalisha wananchi wake maneno ya kuongea katika kuchangia maoni ya muundo wa Katiba mpya. Amesema.......... "Sasa ninao uwezo wa kugundua kuwa haya ni maoni ya mtu mwenyewe au ametumwa"
Nahisi MaCCM hasira zinawapanda na kutamani kumtungua kwani inaonekana kama anawasaliti.
HONGERA JAJI, FANYA KAZI YA WANANCHI KWA MANUFAA YA NCHI.
Nahisi MaCCM hasira zinawapanda na kutamani kumtungua kwani inaonekana kama anawasaliti.
HONGERA JAJI, FANYA KAZI YA WANANCHI KWA MANUFAA YA NCHI.