The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 458
- 1,280
Uwepo wa hofu na uoga umetajwa kuwa sababu ya vyombo vya habari nchini kushindwa kutekeleza majukumu yake na hivyo kugeuka vyombo vya habari vya propaganda na kuishia kuwasifu viongozi.
Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba ameeleza hayo kwenye uzinduzi wa Ripoti ya Hali ya Vyombo vya Habari na kueleza kwa sasa wananchi wamesahaulika na viongozi kupewa nafasi kubwa kwenye vyombo hivyo.
Yapi maoni yako kufuatia kauli hiyo ya Jaji Warioba kuhusu wananchi kusahaulika, na nini kifanyike kubadili hali hiyo kwenye vyombo vya habari?
Mawazo huru kwa Maendeleo ya Taifa letu.
Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba ameeleza hayo kwenye uzinduzi wa Ripoti ya Hali ya Vyombo vya Habari na kueleza kwa sasa wananchi wamesahaulika na viongozi kupewa nafasi kubwa kwenye vyombo hivyo.
Yapi maoni yako kufuatia kauli hiyo ya Jaji Warioba kuhusu wananchi kusahaulika, na nini kifanyike kubadili hali hiyo kwenye vyombo vya habari?
Mawazo huru kwa Maendeleo ya Taifa letu.