Jaji Warioba, ingekuwa vyema ukaiacha Serikali ifanye kazi, wewe ni miongoni mwa watu wa heshima kwenye taifa hili

Huyu Ustadhi wa gas haitoki,furaha yake aone baraza zima la mawaziri swala tano,makatibu Wakuu wote wana sugu kwenye paji la uso ndio itakuwa furaha yake.
eti ustaadhi wa Gas haitoki 🤣 🤣 🤣
 
N hizo nafasi kubwa ziko.ngapi hapa tz?
Na hizo nafasi.kubwakubwa ziko ngapi hapa tz maana unaweza kuta zingine zenye majina ya kiislam hukutaja?
 
Haka kazee sijui kana matatizo gani,wazee wenzake wako kimya wanaendelea kutoa ushauri kwa staha na kulea wajukuu.

Kenyewe kutwa kuhangaika na Rais kwa vihoja vya kijinga na chuki binafsi,ndio maana Makonda aliwahi kukazaba vibao..

Hivi nyie mnakaelewa hasa hako kababu kanalalamikia nini hasa? Au kwa vile Samia ni muungwana? Samia angekuwa katili kama Dhalimu so angefuta Hata bajeti ya kigoda na kukaondoa kweli uenyekiti wa bodi Ili kaisome namba.

Tunashukuru mtoa mada Kwa kukaumbua.Huwa nasema mara nyingi hapa ikitokea viongozi wakiwa Waislam hususani Rais ,Wakristo ushenzi kama hako kababu kenu huwa wanaleta chokochoko Sana na kuwa provoke Waislam..

Nilisema na nasema tena Magufuli alikuwa mdini Sana,endapo alivyokuwa anafanya yakifanywa na Rais Muislam ingekuwa shida tupu.Tuacheni mambo ya kipumbavu tu deal na mambo ya msingi.

Muacheni Rais afanye kazi kwanza ameangushiwa zigo la madeni na Uchumi mfu .
 
Magufuli alikuwa mbaguzi sana. Ubaguzi wake ulibase kwanza kwenye kanda, dini na kabila.

Aliwapendelea sana Wasukuma, watu wa kanda ya ziwa na wakristu.

Aliwachukia sana watu wa kanda ya Nyanda za juu kusini, Kanda ya kaskazini, na watu wa Mtwara/Lindi.

Particulary aliwachukia Wachagga toka Moyoni.
 
Na itikadi roho mbaya yenye visasi ,hovyo kabisa yule jamaa
 
Kwaiyo ni zamu ya maza kutujazia WAZENJI hadi kwenye mambo yasiyohusu muungano?

Toka lini JAJI kutoka ZNZ kuja kuteuliwa BARA??
 
Kutoaminiwa kwenye nafasi za kiasiasa ni kitu cha kawaida duniani kote.
Sio kwamba wachagga walichukiwa na JPM.
Mimi nadhani alikuwa hawaamini kisiasa kutokana na wengi kuunga mkono upinzani.
Wachagga wamepotea ndani ya CCM.
 
Magufuli alikuwa na chuki na uislamu,na alikuwa na chuki na watu wa kaskazini,

Pia alikuwa mkabila Sana Sana yule kiumbe
 
Wazee wakisimama kuisifia CCM hata kama ni kwa sera za hovyo, mnawapamba na kusema hawa ndiyo wazee wa kuwaenzi. Wazee hao hao wakisimama na kusema hapa HAPANA mnakwenda siko mnasimama tena na kusema hawa wazee watulie muda wao ulishakwisha. Sasa ndugu nyie CCM tuwaeleweje? lipi jema kwenu?
 
Wajpl na jmos mna mushkeli sana
 
Changamoto zipi walizopata????
 
Yaani Heading ya uzi Nimeisoma zaidi ya mara saba sioni jambo alilofanya kiasi cha kuambiwa aachane na serikali.
Hii kama ni serikali ya wananchi lazima wananchi waseme. Hatuwezi kuletewa kina Blair watu wenye akili wakakaa kimya.
 
Teuzi hazifanywi kwa kuzingatia dini au kabila na sidhani hiyo ilikuwa nia ya mamlaka ya uteuzi. Yawezakana kabisa ikawa coincidence wala siyo intention na hasa kwenye dini. Kwa kabila lets say ni wengi kwa sababu ndiyo kabila lenye watu wengi?!
Ninawaza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…