Jaji Warioba, ingekuwa vyema ukaiacha Serikali ifanye kazi, wewe ni miongoni mwa watu wa heshima kwenye taifa hili

Kwani hujaolewa na yule mwana cdm aliyekupa mimba?

Mleta thread hakuna sehemu ameitaja cdm lkn wewe kwa kuwashwa na cdm umeiingiza kwenye upuuzi wenu.
Hahahaaaa....... Labda ni ukubwa wa kabila lenyewe au kanda.

2015 kanda ya ziwa ndio ilitoa wabunge wengi wa Chadema.
 
,hakuna hata siku MOJA tumesikia akipigiwa kelele kuwa alikua anateua kwa ukabila Wala udini japo yalikuwa yanaonekana waz waz yaliyokawa ya afanyika,
huyo jamaa yako si aliwatukana wazee wastaafu akawaambia waache kuwashwa washwa, lakini kiuhalisia aliweka wasukuma kibao, kama kuna msukuma hakupata kazi kipindi hicho asahau.
 
Wao walitilia mkazo elimu ya ahera wakaacha elimu ya dunia ambayo inatawala kila kitu.
Wao ni watu wa kulalamika siku zote,hebu jaribu kufikiria....
Rais.....mwislamu
Waziri mkuu.... mwislamu
Jaji mkuu.... mwislamu
Yaani mihimili yote ya nchi wamekamata ukiacha mahakama pekee,halafu wanalalamika.
Sasa hivyi behewa la wazanzibari limemwaga bara utafikiri huku ndo chakechake.

Mbaya zaidi marais wote waliopita wa upande huu ni yeboyebo ila kwenye udini walikuwa imara kusaidia wenzao Kama msumari
 
Utawaweza basi hawa makafiri.

Kwao wakiteuliwa wakristo 9 na muislamu mmoja sio udini.

Wakiteuliwa wakristo watano na waislamu watano huo kwao ni udini.

Wakiteuliwa wakristo 4 na waislamu 6 hapo ndo udini uliopitiliza.

Mipumbavu sana hii mijitu.
Sana
 
Hebu malizana na hawa makada wenzako ambao ni wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ambao nao wanalia-lia kuhusu hili jambo.
 
Warioba amekuwa akitajwa kama Malaika vile kuhusiana na mapendekezo yake ya Katiba Mpya. Kwa Kuwa tu Warioba alisema hivyo, wahusika wanadai lazima tufuate. Leo Warioba amekuja na suala jingine ambalo haliwapendezi wengine. Amesahaulika mara kwamba yeye ndiye anayekaririwa kuwa mkombozi wa Taifa. Amegeuka kuwa mbaya.

Tukumbushane kuhusu madai ya Katiba Mpya. Naamini kabisa kwamba sehemu kubwa ya wanaoimba wimbo wa Katiba Mpya hawajui wala Katiba ya Tanzania ina ibara ngapi. Ukimuuliza mmoja nitajie ibara tano zo zote na kasoro zake hawezi. Niliwahi kumhoji mmoja hivyo akasema polisi wananyanyasa raia wema kwa kuwabambikiza kesi. Sasa kweli hilo ni suala la Katiba?

Ibara ya kwanza ya Katiba inazungumzia jina la Jamhuri. Jee kuna tatizo na hilo?
Kifungu kifuatacho kinataja mipaka ya Jamhuri. Kuna tatizo na hilo?
Mbele kidogo Katiba inasema nchi haitakuwa na dini ila kila raia ana uhuru wa kuabudu atakavyo. Jee, kuna tatizo na hilo?
Tunaweza kuendelea hivyo na tukagundua kwamba kuna mambo mengi tu ambayo hayahitaji kubadilishwa.
Katiba ya Marekani imedumu zaidi ya miaka 200. Huwa inafanyiwa marekebisho tu kulingana na mabadiliko ya nyakati. Kwa nini sisi tuingie kazi ya kuandika Katiba Mpya badala ya kushughulikia tu vipengee vyenye matatizo? Nimetaja mifano michache tu ambayo haihitaji kushughulikiwa. Hata kama nusu ya Katiba inabidi kurekebishwa, hakuna sababu ya kugusa sehemu ambazo hazihitaji hivyo. Kwa hiyo wito inabidi kuwa kurekebisha vifungu ambavyo vimepitwa na wakati. Siyo kuitisha Katiba Mpya.
 
Aiseee hayati bhana
 
Hii hoja uliitoa wiki Jana . Hukuridhika na uchangiaji wa members humu ?!. Mbona umeirudisha , au Una shida binafsi na Warioba ?!

Kuna njama za kutaka kumchafua Warioba kutokana na msimamo wake kuhusu Katiba waitakayo wananchi!! Hii thread ilishajadiliwa kwa kirefu sana halafu imerudishwa tena? Kunani?
 
Ndio maana tulishaimba mara kibao Rais ateue mawaziri na wakuu wa vyombo vya usalama hawa wengine iachiwe taasisi ya utumishi wa umma, zamani TAMISEMI walikuwa na utaratibu mzuri wa kuwapata wakurugenzi wa halimashauri uko wapi kwa sasa huo utaratibu nao wamekuwa wateule wa Rais... why? sababu ziko wazi SIASA!
Ma Rais wetu wanaangalia ni nani anamteua na atanufaika nae vipi that's all tuna mifano hapa ya watu walioteuliwa na marais huko nyuma baadae wakasababisha madhara makubwa kwenye jamii

1. MAKONDA aliteuliwa toka wing ya umoja wa vijana wa CCM
  • KIPINDI = Wakati nchi ikiwa katikati ya mjadara mkali wa katiba mpya ambayo CCM hawakuitaka
  • SABABU= Alisaidia kupambana na kuwavuruga watu waliokuwa wakiongoza harakati za kupata katiba bora.
  • Sifa yake kuu iliyo mbeba alithubutu kupiga hadharani Waziri mkuu msaafu Jaji JOSEPH SINDE WARIOBA Wakati wa mhadhara wa kujadiri katiba mpya na kufanikiwa kuvuruga kongamano.(uthubutu) na hakuchukuliwahatua yoyote ya kisheria hadi leo.
  • Cheo alicho zawadiwa MKUU WA WILAYA
  • RAIS wa wakati huo JK KIKWETE
  • Baadae Rais Magufuli alimuogezea cheo hadi kufikia kuwa Mkuu wa Mkoa kwa sababu hizo hizo zinazo fanana na za mtangulizi wake
2, SABAYA aliteuliwa toka wing ya umoja wa vijana wa CCM
  • KIPINDI = Wakati CCM inatafuta namna ya kuondokana na upinzani imara iliokutana nao katika uchaguzi wa 2015
  • SABABU = Alisaidia kupambana na upinzani mkubwa ulio kuwepo maeneo ya mikoa ya kaskazini.
  • Sifa yake kuu iliyo mbeba, alithubutu kufoji na kumiliki kitamburisho bandia cha usalama wa taifa.(uthubutu) alichukuliwa hatua za kisheria lakini mashitakadhidi yake yalifutwa kwa njia za utatanishi.
  • Cheo alicho zawadiwa MKUU WA WILAYA HAI
  • RAIS wa wakati huo JJP MAGUFULI
Hawa ni marais wawili mmoja mkristo mwingine muisilamu hapa dini hazina nafasi kabisa dini unazionea uteuzi mwingi wa marais wa tanzania kwa sehemu kubwa ni,
  1. SIASA
  2. MASILAHI(KISIASA AU BINAFSI)
  3. USWAHIBA
Hebu jiulize ni kitu gani kina weza kumfanya Rais kuteua Waharifu kushika nafasi muhimu katika utumishi wa umma,je hakuna vetting? hapana ni katiba mbovu inayompa madaka makubwa rais kuriko anavyo paswa ulevi wa madaraka kinakuwa ndicho kitu cha kwanza kumuathiri rais anaanza kutafuta namna yoyote itakayo mfanya astarehe bila bughudha kwa njia harali au haramu hiyo haijarishi.
Katiba mpya haiepukiki katika taifa hili.
 
Your head need to be scanned
 
Vigezo vya uteuzi vya JPM vilikuwa
1. msukuma
2. mwanaume
3. mkristo
4. weledi
2. utiifu binafsi kwake

Wengine walifanikiwa kutoboa kuanzia hapo kigezo namba 4. Ukiwa siyo msukuma, ni mwanamke na ni mwislamu ilibidi upige score kubwa sana kwenye weledi na utiifu binafsi, na ndivyo Ummy Mwalimu alivyofanikiwa kutoboa
 
Aunt mbona unapenda ubishi?
Bishoo mimi sipendi ubishi ila unatabia ya kutoka nje ya mada. Jifunze kujenga hoja zenye mashiko. Huu wenyewe wanaita"home of great thinkers."
 
Sina swali ,uko kikazi zaidi
 
Hiyo asilimia 95 kuwa wakristo pekee ndio wasomi waliobobea kwenye fani hizo umeipataje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…