Jaji Warioba masiha pekee aliyebaki Tanzania,Mungu mjalie nguvu zidi ya mashetani wanaomuandama

Jaji Warioba masiha pekee aliyebaki Tanzania,Mungu mjalie nguvu zidi ya mashetani wanaomuandama

KOLOKOLONI

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
2,476
Reaction score
2,371
Kila nikiangalia upeo wa kufikiri wa mzee warioba nathubutu kusema ni moja ya masiha na mzalendo pekee atakayetuokoa na mashetani wanaotufanya tuendelee kuwa watumwa katika taifa letu maana kila ikatamka herufi neno lake moja ni mwiba mkali sana kwa wale madhalimu na makabahila wanaotunyonya bila huruma na wanakosa hata pakukwepea maana maneno yake yanachoma kila mahali.

Mungu wangu mbariki mzee huyu mwenye fikra pevu na zilizo na mbolea.
 
Usitumie jina hilo vibaya, yaani warioba kwa hoja ya kutugawa leo mnamtunuku hadhi ya kitakatifu namna hy kweli nimeamini kumbe wapo wajinga wengi ndani ya hii nchi, watu dunian kote katika karne hii wanaungana cc ka nchi kadogo maskini tunajenga hoja za kutengana ama kweli
 
Naunga mkono hoja! Mhe. Jaji Joseph Sinde Warioba ndiye pekee ambaye anaweza akasimama na kutetea maslahi ya nchi kutoka moyoni..

Hivi Maraisi wastaafu wako wapi? Simsikii Ali Hassan Mwinyi wala Benjamin Mkapa; naamini kabisa hawa nafsi zinawasuta maana dhambi waliyoifanyia nchi hii inawasuta hawadiriki hata kuchangia maana mambo mengine wao ndiyo walichangia nchi hii kufika hapa!!
 
Usitumie jina hilo vibaya, yaani warioba kwa hoja ya kutugawa leo mnamtunuku hadhi ya kitakatifu namna hy kweli nimeamini kumbe wapo wajinga wengi ndani ya hii nchi, watu dunian kote katika karne hii wanaungana cc ka nchi kadogo maskini tunajenga hoja za kutengana ama kweli

ww ndio m.j.i.n.g.a mkubwa jaji warioba amezeeka mwili ila bado ni kichwa sijawah kuona PRESENTATION nzuri yenye point kama aliyowasilisha jana
 
Nakubaliana na mleta mada, yule mzee amejaa busara tele, mi nangojea hotuba zinazokuja soon ili niendelee kutathmini busara za watu wengine!
 
Kila nikiangalia upeo wa kufikiri wa mzee warioba nathubutu kusema ni moja ya masiha na mzalendo pekee atakayetuokoa na mashetani wanaotufanya tuendelee kuwa watumwa katika taifa letu maana kila ikatamka herufi neno lake moja ni mwiba mkali sana kwa wale madhalimu na makabahila wanaotunyonya bila huruma na wanakosa hata pakukwepea maana maneno yake yanachoma kila mahali. Mungu wangu mbariki mzee huyu mwenye fikra pevu na zilizo na mbolea

Warioba ni kati ya wale watu ambao wakipata ugali wa kutosha kula yeye na familia yake siku ikapita anaridhika. Huyu mzee sio kama wale ambao wanafikiria kumiliki li-Richmond/Dowans, Li kiwira(mgodi) n.k kwa kutumia jasho la wananchi.
Watu wa aina hii wamebaki wachache sana hapa Tanzania.
 
Sijui nianze wapi nimalizie wapi kwa huyu mzee

Kumbe bado M.mungu anaitakia kheri Tanzania kwaku mzee kama warioba kuwa hai.

Hata wakifa wastaafu wote waliowahi kutawala hatupati hasara kuliko angetangulia warioba

Hii ndio tunu pekee, akitokea wa kumpinga kutoka upande wowote wa tanganyika,znz, ccm,chadema, cuf au chama chochote anafaa kunyongwa hadharani. Kweupeee

Mzee Warioba ameongea kwa hisia kali na sio kama wale watafutaji wa tonge

Mungu ampe umri aje ashuhudie mambo mengi ndani ya nchi hii.

Ameen
 
Nakubaliana na mleta mada, yule mzee amejaa busara tele, mi nangojea hotuba zinazokuja soon ili niendelee kutathmini busara za watu wengine!

Tusubiri za mkuu wa Kaya atakapokuja kuzindua BMK ijumaa
 
Sijui nianze wapi nimalizie wapi kwa huyu mzee

Kumbe bado M.mungu anaitakia kheri Tanzania kwaku mzee kama warioba kuwa hai.

Hata wakifa wastaafu wote waliowahi kutawala hatupati hasara kuliko angetangulia warioba

Hii ndio tunu pekee, akitokea wa kumpinga kutoka upande wowote wa tanganyika,znz, ccm,chadema, cuf au chama chochote anafaa kunyongwa hadharani. Kweupeee

Mzee Warioba ameongea kwa hisia kali na sio kama wale watafutaji wa tonge

Mungu ampe umri aje ashuhudie mambo mengi ndani ya nchi hii.

Ameen

Tuseme ukweli serikali tatu hazifai hata kidogo kama kweli hayo ni maoni ya watanzania wengi basi walidanganywa na wanasiasa,ukweli ni kwamba nyuma ya pazia wanasiasa wanajua serikali tatu ni ulaji maana hizo mbili tu bajeti yao ni kubwa sana na wanatunyonya sana wa chini fikiria laki 3 kwa cku watu wanagoma walimu ni mwezi mzma mshahara lenfo lao kubwa kuongeza ukubwa wa serikali ili wajilimbikizie utajiri bac hawana lolote ila watanzania hawaoni kabisa ....ni heri tubaki kama tulivyo changamoto zetu tuzirekebishe au kila mtu kwao yaishe kuliko kuongeza ukubwa wa serikali yani tunazidi kuwapa ulaji tu mwaka mzima itakuwa vikao katoka bara bungeni anaingia kwenye serikai
li ya tatu uwizi mtupu.. nashangaa sana fikiri mAra mbilijuzi tu mishahara iligoma kwa kuchukua bajeti ya hivyo vikao mpaka wakaenda kukopa southa afrika. yani nasema kweli serikali tatu ni janga jingine la kitaifa haifai kabisa.tafakari kwa makini.watu ni walewale.
 
Nakubaliana na mleta mada, yule mzee amejaa busara tele, mi nangojea hotuba zinazokuja soon ili niendelee kutathmini busara za watu wengine!
Haaaaahaaaha! Siku hizi wanaojua kutoa hotuba zenye maana na mvuto kwa wasikilizaji ni wachache sana! Jaji Warioba na Profesa Shivji ni viongozi wachache waliobaki wanaoweza kuhutubia kwa ufasaha na kile wanachokiwakilisha kwa jamii kikaeleweka na kupokelewa kwa mikono miwili tofauti na watawala watoa mipasho!
 
Tusubiri za mkuu wa Kaya atakapokuja kuzindua BMK ijumaa

Ngoja tusubiri tuone, maana hata hili la kumtanguliza Jaji Warioba kuwasilisha kwanza then ndo mkuu wa Kaya aje kuzindua ni mkakati wa kupima maji kabla ya kuvuka mto.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Ukweli usiopingika kuwa hali ya muungano wetu imefikia pabaya sana tusipokubaliana na ukweli huu tusubiri kupata wakimbizi wengi wa kitanzania maana maoni yao yakipuuzwa tu lazima iwe tete
 
Tuseme ukweli serikali tatu hazifai hata kidogo kama kweli hayo ni maoni ya watanzania wengi basi walidanganywa na wanasiasa,ukweli ni kwamba nyuma ya pazia wanasiasa wanajua serikali tatu ni ulaji maana hizo mbili tu bajeti yao ni kubwa sana na wanatunyonya sana wa chini fikiria laki 3 kwa cku watu wanagoma walimu ni mwezi mzma mshahara lenfo lao kubwa kuongeza ukubwa wa serikali ili wajilimbikizie utajiri bac hawana lolote ila watanzania hawaoni kabisa ....ni heri tubaki kama tulivyo changamoto zetu tuzirekebishe au kila mtu kwao yaishe kuliko kuongeza ukubwa wa serikali yani tunazidi kuwapa ulaji tu mwaka mzima itakuwa vikao katoka bara bungeni anaingia kwenye serikai
li ya tatu uwizi mtupu.. nashangaa sana fikiri mAra mbilijuzi tu mishahara iligoma kwa kuchukua bajeti ya hivyo vikao mpaka wakaenda kukopa southa afrika. yani nasema kweli serikali tatu ni janga jingine la kitaifa haifai kabisa.tafakari kwa makini.watu ni walewale.

acha upuuzi wa kubishana na jambo ambalo lishatolewa ufafanuzi mara nyingi hata dr sengondo mvungi kabla hajauliwa alifanya presentation moja kali sana iliyokua ikisuport serikali 3 kwa kua ccm hawataki ndo wakamfanyia hila wakamuuwa....usikurupuke kama hujaelewa kitu beter be quiet
 
ningependa kuona rais wa zanzimbar akiwa na mamlaka kamiri tofauti na sasa anakuwa kama msaidizi,wkt wananchi wakifa na umasikini wao,selikari 3 ndio namna pekee ya kuondoa mfumo wa kupeana vyeo
 
Usitumie jina hilo vibaya, yaani warioba kwa hoja ya kutugawa leo mnamtunuku hadhi ya kitakatifu namna hy kweli nimeamini kumbe wapo wajinga wengi ndani ya hii nchi, watu dunian kote katika karne hii wanaungana cc ka nchi kadogo maskini tunajenga hoja za kutengana ama kweli

ni maoni yetu sisi wenyewe ndo twataka hivyo na wala si warioba. Ni sawa na hyawa jamaa wa crimea.
 
ww ndio m.j.i.n.g.a mkubwa jaji warioba amezeeka mwili ila bado ni kichwa sijawah kuona PRESENTATION nzuri yenye point kama aliyowasilisha jana

Nakubaliana na mleta mada, yule mzee amejaa busara tele, mi nangojea hotuba zinazokuja soon ili niendelee kutathmini busara za watu wengine!

Sijui nianze wapi nimalizie wapi kwa huyu mzee

Kumbe bado M.mungu anaitakia kheri Tanzania kwaku mzee kama warioba kuwa hai.

Hata wakifa wastaafu wote waliowahi kutawala hatupati hasara kuliko angetangulia warioba

Hii ndio tunu pekee, akitokea wa kumpinga kutoka upande wowote wa tanganyika,znz, ccm,chadema, cuf au chama chochote anafaa kunyongwa hadharani. Kweupeee

Mzee Warioba ameongea kwa hisia kali na sio kama wale watafutaji wa tonge

Mungu ampe umri aje ashuhudie mambo mengi ndani ya nchi hii.

Ameen

Tuseme ukweli serikali tatu hazifai hata kidogo kama kweli hayo ni maoni ya watanzania wengi basi walidanganywa na wanasiasa,ukweli ni kwamba nyuma ya pazia wanasiasa wanajua serikali tatu ni ulaji maana hizo mbili tu bajeti yao ni kubwa sana na wanatunyonya sana wa chini fikiria laki 3 kwa cku watu wanagoma walimu ni mwezi mzma mshahara lenfo lao kubwa kuongeza ukubwa wa serikali ili wajilimbikizie utajiri bac hawana lolote ila watanzania hawaoni kabisa ....ni heri tubaki kama tulivyo changamoto zetu tuzirekebishe au kila mtu kwao yaishe kuliko kuongeza ukubwa wa serikali yani tunazidi kuwapa ulaji tu mwaka mzima itakuwa vikao katoka bara bungeni anaingia kwenye serikai
li ya tatu uwizi mtupu.. nashangaa sana fikiri mAra mbilijuzi tu mishahara iligoma kwa kuchukua bajeti ya hivyo vikao mpaka wakaenda kukopa southa afrika. yani nasema kweli serikali tatu ni janga jingine la kitaifa haifai kabisa.tafakari kwa makini.watu ni walewale.


Niliangalia wakati wa hotuba ya Jaji Warioba viongozi wengi hasa mawaziri hawakua makini kumsikiliza ;wengi walikua wanaendelea na'mazungumzo yao.Wajumbe wa kawaida wanaotokana na taasisi nyingine ndo walikua makini kusikiliza hotuba ya Warioba ambayo kiukweli imetoa sababu zilizopelekea wananchi wengi waliohojiwa kutaka serikali 3;na tume yake kukubaliana nao! Na alikiri kabisa kuwa sarikali mbili kuelekea moja ndiyo bora kuliko tatu. Lakini kutokana na hali ya Zanzibar kisiasa na katiba yao akasema ni kujidanganya kuendelea na serikali 2, na hakuna tena uwezekano wa kuwa na serikali moja na nchi moja.
Tuwe wakweli ile tume ilijaa watu waadilifu sana.Sifa kubwa ya jaji ni kuwa mkweli na kusimamia haki na hasa jaji wa siku nyingi kama Warioba. Na kama kuna watu waliotoa maoni kwa wingi basi ni wanachama wa kawaida wa CCM ambao pia walitaka serikali 3 hata hivyo baadhi ya viongozi wao ndo wanaotaka serikali 2! Na pia tume zote zilizowahi kuundwa zilkuja na maoni kama ya tume ya Warioba lakini serikali ikapuuza maoni hayo matokeo yake ni kuongezeka kwa kero za Muungano na kuongezeka kwa vurugu kule Zanzibar kupinga ukoloni wa Tanzania kuitawala Zanzbar kimabavu.
Nasema tuwe makini na uwezekano wa kupuuza maoni ya serikali 3. Ile hotuba ya warioba iliyotokana na maoni ya watu imerikodiwa na CD zake ziko mtaani na inaeleweka vizuri sana kwa watanganyika ambao walifungwa macho kwa muda mrefu. Tusije tukaanza mchakato mwingine baada ya miaka 10:
 
Tusubiri za mkuu wa Kaya atakapokuja kuzindua BMK ijumaa
Kati ya mitihani aliyowahi kufanya huu ni mmojawapo, mzee wetu mwadilifu Warioba kamaliza kazi yake kiuadilifu sasa tunamsubiri mkuu wa kaya, nahisi ilikuwa planned kumtanguliza mzee Warioba
 
Back
Top Bottom