Jaji Warioba na Mzee Butiku ndio wana CCM waliobaki

Jaji Warioba na Mzee Butiku ndio wana CCM waliobaki

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Huu ndio ukweli mchungu wapendwa watanzania na hasa wale wanaaojiita wana CCM!

Kama kuna mwana CCM anataka kujua jinsi ya kuwa mwana CCM wa kweli awatafute Jaji Joseph Sinde Warioba na Mzee Joseph Butiku. Hawa ndio wana CCM kwa maana halisi waliobaki nchi hii!

Wengine wote waliobaki ni wavamizi wa chama na wachumia tumbo.

CCM imepoteza muelekeo na kuwa genge la wanaotafuta maslahi yao binafsi na wafujaji wa mali za mtanzania maskini.
 
Chama chochote madhumuni ni kushika dola hawa ni wanafiki wanaotaka chama kianguke kwa sababu ya chuki zao kupigwa chini na wanao.

Wahame chama mbona Nyerere alisema CCM sio baba yangu wala Mama yangu wahame kama kweli wanaume. Unakosoa kila kitu lakini Rais unamsifia?

Ukikosoa taasisi za serikali unamkosoa Rais na Chama tawala wanaoongoza dola, taasisi mbaya Rais mzuri. Unafiki mkubwa.
 
Ona ushuzii huu,Mzee anausema uhalisia wew unapinga reality.Mimi sio mwanasiasa ila nimuumini wa Haki,yanayotokea kwenye chaguzi zetu ni laana kwa wahusika.
Chama chochote madhumuni ni kushika dola hawa ni wanafiki wanaotaka chama kianguke kwa sababu ya chuki zao kupigwa chini na wanao.

Wahame chama mbona Nyerere alisema CCM sio baba yangu wala Mama yangu wahame kama kweli wanaume. Unakosoa kila kitu lakini Rais unamsifia?

Ukikosoa taasisi za serikali unamkosoa Rais na Chama tawala wanaoongoza dola, taasisi mbaya Rais mzuri. Unafiki mkubwa.
A
 
Chama chochote madhumuni ni kushika dola hawa ni wanafiki wanaotaka chama kianguke kwa sababu ya chuki zao kupigwa chini na wanao.

Wahame chama mbona Nyerere alisema CCM sio baba yangu wala Mama yangu wahame kama kweli wanaume. Unakosoa kila kitu lakini Rais unamsifia?

Ukikosoa taasisi za serikali unamkosoa Rais na Chama tawala wanaoongoza dola, taasisi mbaya Rais mzuri. Unafiki mkubwa.
Hivi wewe kichwani umejaza ubongo au mavi? Unamtisha mwenye chama mtu ambae ameandaa hata utaratibu wa kuongoza nchi? Eti ahame wewe na yeye nani anatakiwa kuhama?
 
Warioba na Butiku wakishiwaga hela human wanarefusha midomo yao inayofanana na samaki aina ya ningu
 
Na ukisikia tu wameongea ujue Kuna Jambo bye 2025 CCM Samia hasipojiuzulu CCM kitameguka vipande vipande
 
Ona ushuzii huu,Mzee anausema uhalisia wew unapinga reality.Mimi sio mwanasiasa ila nimuumini wa Haki,yanayotokea kwenye chaguzi zetu ni laana kwa wahusika.
A
Uhalisia gani kasema, anasema jeshi lisiusishwe na siasa ndio taasisi pekee imebaki na maadili aliyemwambia wanaingilia siasa nani? anatabiri. Katukana taasisi zote hazina madili ila mabwana wakubwa kaogopa. Ukitukana taasisi zote umemtukana na kiongozi.
 
Hivi wewe kichwani umejaza ubongo au mavi? Unamtisha mwenye chama mtu ambae ameandaa hata utaratibu wa kuongoza nchi? Eti ahame wewe na yeye nani anatakiwa kuhama?
Mwenye cha my ass, angekuwa mwenye chama mwanae angepigwa chini kura za maoni? chuki zimemjaa wanae kupigwa chini waliondoka watu walikuwa na team kina marehemu Lowasa sembuse huyu mwenye sura ya marehemu hata kufariki bado.
 
Huu ndio ukweli mchungu wapendwa watanzania na hasa wale wanaaojiita wana CCM!

Kama kuna mwana CCM anataka kujua jinsi ya kuwa mwana CCM wa kweli awatafute Jaji Joseph Sinde Warioba na Mzee Joseph Butiku. Hawa ndio wana CCM kwa maana halisi waliobaki nchi hii!

Wengine wote waliobaki ni wavamizi wa chama na wachumia tumbo.

CCM imepoteza muelekeo na kuwa genge la wanaotafuta maslahi yao binafsi na wafujaji wa mali za mtanzania maskini.
Sio kweli mkuu mbona wapo wana CCM wengi tu ambao ni CCM imani sio CCM maslahi.

Kuna wana CCM waliingia CCM enzi za Nyerere hadi sasa wapo sema hawana madaraka.

Kuna wana CCM kibao hawakubaliani na yanayoendelea ndani ya CCM ila hawana nguvu ya kupitisha maamuzi siku wakipata nafasi watairudisha CCM katika misingi yake ya awali.
 
Uhalisia gani kasema, anasema jeshi lisiusishwe na siasa ndio taasisi pekee imebaki na maadili aliyemwambia wanaingilia siasa nani? anatabiri. Katukana taasisi zote hazina madili ila mabwana wakubwa kaogopa. Ukitukana taasisi zote umemtukana na kiongozi.
Kwahiyo mtu kutoa wazo mbadala kwa wemaa unamgroup kua ametukana.Binafsi naliamini sana JWTz 100% mzee yupo sawaa ndio ilivyoo kwa sasaa!Ipo siku watalikomboa Taifaa uovu ukizidi sana.
 
My advice to you, is be you.

Achana na ushambenga wa siasa

Rudi kule ulikokuwa zama za Magufuli kukata nondo fikirishi za maslahi ya taifa sijui wengine Iła kwangu nilikuwa napata elimu.

Sijui shetani gani alikuingia ukaanza, ushambenga wa Samia na sasa unamgeuka. Unafiki wa siasa waachie wenyewe.

Iła wewe kwa ID hii ya fazili rudi kwenye kukata nyondo zako za kisomi, binafsi ndipo nilipoanza kukufuatilia.

Hayo mambo ya CCM sidhani kama ni size yako, japo sikujui. Akili żako kwa zama zile ni msomi kuliko huko unakotaka kwenda.

Siasa fitna kaka
 
Chama chochote madhumuni ni kushika dola hawa ni wanafiki wanaotaka chama kianguke kwa sababu ya chuki zao kupigwa chini na wanao.

Wahame chama mbona Nyerere alisema CCM sio baba yangu wala Mama yangu wahame kama kweli wanaume. Unakosoa kila kitu lakini Rais unamsifia?

Ukikosoa taasisi za serikali unamkosoa Rais na Chama tawala wanaoongoza dola, taasisi mbaya Rais mzuri. Unafiki mkubwa.
Hujajibu hoja yoyote ya mzee warioba kwakuwa wewe ni chawa
 
Huu ndio ukweli mchungu wapendwa watanzania na hasa wale wanaaojiita wana CCM!

Kama kuna mwana CCM anataka kujua jinsi ya kuwa mwana CCM wa kweli awatafute Jaji Joseph Sinde Warioba na Mzee Joseph Butiku. Hawa ndio wana CCM kwa maana halisi waliobaki nchi hii!

Wengine wote waliobaki ni wavamizi wa chama na wachumia tumbo.

CCM imepoteza muelekeo na kuwa genge la wanaotafuta maslahi yao binafsi na wafujaji wa mali za mtanzania maskini.
Ukiwa na baba ,babu kama uyu hata usipo kua na pesa raha tupu
 
Huu ndio ukweli mchungu wapendwa watanzania na hasa wale wanaaojiita wana CCM!

Kama kuna mwana CCM anataka kujua jinsi ya kuwa mwana CCM wa kweli awatafute Jaji Joseph Sinde Warioba na Mzee Joseph Butiku. Hawa ndio wana CCM kwa maana halisi waliobaki nchi hii!

Wengine wote waliobaki ni wavamizi wa chama na wachumia tumbo.

CCM imepoteza muelekeo na kuwa genge la wanaotafuta maslahi yao binafsi na wafujaji wa mali za mtanzania maskini.
Ni kweli kabisa wote waliobakia ni wachumia tumbo tu na machawa.
 
Huu ndio ukweli mchungu wapendwa watanzania na hasa wale wanaaojiita wana CCM!

Kama kuna mwana CCM anataka kujua jinsi ya kuwa mwana CCM wa kweli awatafute Jaji Joseph Sinde Warioba na Mzee Joseph Butiku. Hawa ndio wana CCM kwa maana halisi waliobaki nchi hii!

Wengine wote waliobaki ni wavamizi wa chama na wachumia tumbo.

CCM imepoteza muelekeo na kuwa genge la wanaotafuta maslahi yao binafsi na wafujaji wa mali za mtanzania maskini.
CCM ni ile ile tu..
Sema Judge kajitutumua kinoma...
Watasema analeta Uzanzibar na Ubara...
Mbona kipindi cha Magu hakuwahi fungua mdomo.
 
Back
Top Bottom