AChama chochote madhumuni ni kushika dola hawa ni wanafiki wanaotaka chama kianguke kwa sababu ya chuki zao kupigwa chini na wanao.
Wahame chama mbona Nyerere alisema CCM sio baba yangu wala Mama yangu wahame kama kweli wanaume. Unakosoa kila kitu lakini Rais unamsifia?
Ukikosoa taasisi za serikali unamkosoa Rais na Chama tawala wanaoongoza dola, taasisi mbaya Rais mzuri. Unafiki mkubwa.
Hivi wewe kichwani umejaza ubongo au mavi? Unamtisha mwenye chama mtu ambae ameandaa hata utaratibu wa kuongoza nchi? Eti ahame wewe na yeye nani anatakiwa kuhama?Chama chochote madhumuni ni kushika dola hawa ni wanafiki wanaotaka chama kianguke kwa sababu ya chuki zao kupigwa chini na wanao.
Wahame chama mbona Nyerere alisema CCM sio baba yangu wala Mama yangu wahame kama kweli wanaume. Unakosoa kila kitu lakini Rais unamsifia?
Ukikosoa taasisi za serikali unamkosoa Rais na Chama tawala wanaoongoza dola, taasisi mbaya Rais mzuri. Unafiki mkubwa.
Uhalisia gani kasema, anasema jeshi lisiusishwe na siasa ndio taasisi pekee imebaki na maadili aliyemwambia wanaingilia siasa nani? anatabiri. Katukana taasisi zote hazina madili ila mabwana wakubwa kaogopa. Ukitukana taasisi zote umemtukana na kiongozi.Ona ushuzii huu,Mzee anausema uhalisia wew unapinga reality.Mimi sio mwanasiasa ila nimuumini wa Haki,yanayotokea kwenye chaguzi zetu ni laana kwa wahusika.
A
Mwenye cha my ass, angekuwa mwenye chama mwanae angepigwa chini kura za maoni? chuki zimemjaa wanae kupigwa chini waliondoka watu walikuwa na team kina marehemu Lowasa sembuse huyu mwenye sura ya marehemu hata kufariki bado.Hivi wewe kichwani umejaza ubongo au mavi? Unamtisha mwenye chama mtu ambae ameandaa hata utaratibu wa kuongoza nchi? Eti ahame wewe na yeye nani anatakiwa kuhama?
Wakati wa JPM aliufyata.Hivi wewe kichwani umejaza ubongo au mavi? Unamtisha mwenye chama mtu ambae ameandaa hata utaratibu wa kuongoza nchi? Eti ahame wewe na yeye nani anatakiwa kuhama?
Sio kweli mkuu mbona wapo wana CCM wengi tu ambao ni CCM imani sio CCM maslahi.Huu ndio ukweli mchungu wapendwa watanzania na hasa wale wanaaojiita wana CCM!
Kama kuna mwana CCM anataka kujua jinsi ya kuwa mwana CCM wa kweli awatafute Jaji Joseph Sinde Warioba na Mzee Joseph Butiku. Hawa ndio wana CCM kwa maana halisi waliobaki nchi hii!
Wengine wote waliobaki ni wavamizi wa chama na wachumia tumbo.
CCM imepoteza muelekeo na kuwa genge la wanaotafuta maslahi yao binafsi na wafujaji wa mali za mtanzania maskini.
Kwahiyo mtu kutoa wazo mbadala kwa wemaa unamgroup kua ametukana.Binafsi naliamini sana JWTz 100% mzee yupo sawaa ndio ilivyoo kwa sasaa!Ipo siku watalikomboa Taifaa uovu ukizidi sana.Uhalisia gani kasema, anasema jeshi lisiusishwe na siasa ndio taasisi pekee imebaki na maadili aliyemwambia wanaingilia siasa nani? anatabiri. Katukana taasisi zote hazina madili ila mabwana wakubwa kaogopa. Ukitukana taasisi zote umemtukana na kiongozi.
Hujajibu hoja yoyote ya mzee warioba kwakuwa wewe ni chawaChama chochote madhumuni ni kushika dola hawa ni wanafiki wanaotaka chama kianguke kwa sababu ya chuki zao kupigwa chini na wanao.
Wahame chama mbona Nyerere alisema CCM sio baba yangu wala Mama yangu wahame kama kweli wanaume. Unakosoa kila kitu lakini Rais unamsifia?
Ukikosoa taasisi za serikali unamkosoa Rais na Chama tawala wanaoongoza dola, taasisi mbaya Rais mzuri. Unafiki mkubwa.
Ukiwa na baba ,babu kama uyu hata usipo kua na pesa raha tupuHuu ndio ukweli mchungu wapendwa watanzania na hasa wale wanaaojiita wana CCM!
Kama kuna mwana CCM anataka kujua jinsi ya kuwa mwana CCM wa kweli awatafute Jaji Joseph Sinde Warioba na Mzee Joseph Butiku. Hawa ndio wana CCM kwa maana halisi waliobaki nchi hii!
Wengine wote waliobaki ni wavamizi wa chama na wachumia tumbo.
CCM imepoteza muelekeo na kuwa genge la wanaotafuta maslahi yao binafsi na wafujaji wa mali za mtanzania maskini.
Ni kweli kabisa wote waliobakia ni wachumia tumbo tu na machawa.Huu ndio ukweli mchungu wapendwa watanzania na hasa wale wanaaojiita wana CCM!
Kama kuna mwana CCM anataka kujua jinsi ya kuwa mwana CCM wa kweli awatafute Jaji Joseph Sinde Warioba na Mzee Joseph Butiku. Hawa ndio wana CCM kwa maana halisi waliobaki nchi hii!
Wengine wote waliobaki ni wavamizi wa chama na wachumia tumbo.
CCM imepoteza muelekeo na kuwa genge la wanaotafuta maslahi yao binafsi na wafujaji wa mali za mtanzania maskini.
CCM ni ile ile tu..Huu ndio ukweli mchungu wapendwa watanzania na hasa wale wanaaojiita wana CCM!
Kama kuna mwana CCM anataka kujua jinsi ya kuwa mwana CCM wa kweli awatafute Jaji Joseph Sinde Warioba na Mzee Joseph Butiku. Hawa ndio wana CCM kwa maana halisi waliobaki nchi hii!
Wengine wote waliobaki ni wavamizi wa chama na wachumia tumbo.
CCM imepoteza muelekeo na kuwa genge la wanaotafuta maslahi yao binafsi na wafujaji wa mali za mtanzania maskini.