Jaji Warioba ni sehemu ya kikundi cha chokochoko dhidi ya Rais Samia, wakati anavamiwa na Makonda, alikuwa na Polepole, rafiki ya Bashiru

Jaji Warioba ni sehemu ya kikundi cha chokochoko dhidi ya Rais Samia, wakati anavamiwa na Makonda, alikuwa na Polepole, rafiki ya Bashiru

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
 
Hizo ni personal issues kutokujenga kwao wewe inakuhusu nini?ni lazima mtu kujenga kwao.wewe unachuki binafsi tu na huyo mzee ndo maana unaamua kumchafua tu lkn tunayemjua hayo ya kwako hayatusumbui.inawezekana pia na wewe ulikuwapo kwenye hiyo kashfa ya meremeta vinginevyo usingeyajua hayo.
 
hizo ni personal issues.kutokujenga kwao wewe inakuhusu nini?ni lazima mtu kujenga kwao.wewe unachuki binafsi tu na huyo mzee ndo maana unaamua kumchafua tu lkn tunayemjua hayo ya kwako hayatusumbui.inawezekana pia na wewe ulikuwapo kwenye hiyo kashfa ya meremeta vinginevyo usingeyajua hayo.
Huyu alikuwa mbunge wa Bunda miaka dahari, alishindwa kupeleka maji Wala barabara, akisimama Bunda anazomewa, naona alimuombea mwanae awe mkuu wa wilaya ya Moshi, ukweni kwake, yaani, nyumbani hana sauti, halafu akitoka nje ya geti anataka kukoromea dola
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana...
CCM imejaa majangili tupu
 
Warioba ana double standards?yes.

Warioba mnafiki ?yes.

Lakini tusimshambulie maisha binafsi wala kumlazimisha astaafu asiongee.

Acha ashindwe Kwa hoja Tu. ..kama Kikwete alivyomjibu masuala ya serikali tatu Bunge la katiba.
 
Jaji warioba ni kama Prof Musa Assadi wao nyeusi ni nyeusi nyeupe ni nyeupe Mkweli hana upande anapiga kote. Alichosema ni kweli hoja ujibiwa kwa hoja ukiona mtu anakimbilia vitisho ujue hana Hoja
Muulize zile Hela za Kampuni ya MWANANCHI GOLD walizoiba Benki Kuu, ndio utajua nyeupe na nyeusi zake
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake...

Jibuni hoja acheni ufisi....kwa kifupi tumewachoka nyie CCM...waongo waongo.

Muumba wa mbingu na nchi naomba usikie kilio chetu watanzania....hiki chama kisambaratike...kimetutesa vyakutosha....naomba uangalie wanao tunavyoteseka.....ingilia kati utusaidie....na wote tuseme...Amen
 
Acheni porojo. Jibuni hoja. Nchi yetu haiendelei kwa sababu ya kulindana.

Mtu akitoa hoja zake za Msingi, wajinga wengi hawajibu hoja. Kinyume chake wanaanza kumshambulia tu.

Tusiuendekeze ujinga wa kumshambulia mtu aliyetoa maoni yake. Badala yake tujikite kujibu hoja kwa hoja.
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake...
Kaka tuwashambulie wengine lakini si Jaji Warioba, watanzania hawatatuelewa kabisa tutatumia nguvu kubwa ambayo results yake itakuwa Zero.

Kama tuna ugomvi na Katibu wetu mkuu Mstaafu wa chama basi tupambane naye yeye na washirika wake ila Jaji tumwache maana kalifanyia taifa hili mambo mengi tena ya msingi.

Kumwingiza Jaji kwenye mtanange huu tutakuwa tumemkosea sana na tutakwama mapema asubuhi.

Kingine sisi CCM tujikite kwenye hoja na si kuanza maneno ya kejeli na matusi, hapa ndipo tunapozidiwa na wenzetu wa upande wa pili, huu utamaduni wa matusi na dhihaka tuuache mara moja kwani haujawahi kutusaidia.

Hoja ya wenzetu hata kama ni ndani ya chama chetu basi ijibiwe wa hoja na si wa vioja ili wananchi nao waone kinachoendelea.

CCM ni chama kikubwa.
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Uvccm ninyi mmelaaniwa wala hamuheshimu wazee kabisa
 
Back
Top Bottom