Jaji Warioba ni sehemu ya kikundi cha chokochoko dhidi ya Rais Samia, wakati anavamiwa na Makonda, alikuwa na Polepole, rafiki ya Bashiru

Narudia tena ili uelewe, Warioba huo ujaji ni WA kujipachika, kisheria, hapa Tanzania, hayumo katika listi ya majaji, na hata hizo mahakama unazozisema, huko nako sio JAJI.

Wajita, wakerewe, na wakara walikuwa wanamuita "YEGO JAJI" kwa heshima ya mtu mzima, sio ujaji.

Bandika hukumu ambayo Warioba aliwahi kuandika ndani na nje ya nchi
 
Yaani wewe baba yako aliuza ng'ombe akasomesha ng'ombe mwingine shule
 
Mwizi huhukumiwa na mahakama. Kama hakuna kesi wala hukumu iliyoonesha Warioba ni mwizi, you the rich in idiocy, shut up you stinking mouth.
Nenda google ukam search huyu Babu opportunist ......alikula mlungula wa MWANANCHI GOLD
 
Kansela wa chuo SUA, hakuna alilofanya pale zaidi ya posho tu, amesaidia nini kilimo Cha nchi hii na hao wahitimu? Hakuna alilosaidia
 
Kinachonishangaza, watu wengi humu wanamshambilia Mzee badala ya kujibu hoja yake. Mzee Warioba amekataa kuwa mlamba asali anasimamia maslahi ya nchi, kwanini mnakuja na mada za kejeli? Jibuni hoja ya Ali Bashiru kwanza..!!
 
Wanasaka vyeo bana.
Wanatafuta ugali wao
 
Utamaduni unaojengeka na kukomaa. Ni kuwa Ccm ingependa kunyamazisha watu dhidi ya viongozi wao. Na hii si sawa.

Waruhusuni wanachama na wananchi watoe dukuduku zao. Kwani ndiyo uongozi. Mambo ya kuabudu na kusifu viongozi, hata pale wanapotimiza majukumu yao ya kikatiba, na wanalipwa kwa kazi hizo si sawa. Ccm ya zamani iliruhusu wanachama na wananchi kutoa ya mioyoni mwao. Siyo hii ya kutukuzana
 
Kumbe nyie wahuni ndio mlinshambulia pale ukumbini.

Maana kitambo hamtaki kumsikia sababu hakubaliani na uhuni wa UVCMCM.
 
Jibuni hoja za mzee, uyu mzee analifaham Taifa na sio viwango vyako kaa mbali nae ,hoja hujibiwa kwa hoja.
Je kilichotekea uchaguzi S. Mtaa ni haki acheni mawazo mfu katika mambo ya Kitaifa , mzee ana hoja na hakuna yoyote ccm wa kumjibu , kumjibu ni kutafuta laana
 
Tehetehe
 
2025 CCM itatoa fomu za ugombea Urais kwa kila mwenye sifa kugombea na hapo ndipo CCM itatoka na Mgombea makini anayechukia rushwa na ufisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…