Jaji Warioba: Tujifunze kwenye mikataba iliyopita

Jaji Warioba: Tujifunze kwenye mikataba iliyopita

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Screenshot_20230624-175212.png
Mwananchi.

Mzee Warioba ana maanisha nini anaposema waziwazi kwamba kwenye huo mkataba haitoshi kusema haya ni makubaliano na bila kupepesa macho AMESEMA WATAWALA WAANGALIE YASIYO FAA WAYAONDOE?!
 
NB: Humu jf tumweshimuni yule Suzy Elias nakumbuka aliileta hiyo habari km tetesi. Inaonekana ni mtu mkubwa.
 
View attachment 2667538Mwananchi.

Mzee Warioba ana maanisha nini anaposema waziwazi kwamba kwenye huo mkataba haitoshi kusema haya ni makubaliano na bila kupepesa macho AMESEMA WATAWALA WAANGALIE YASIYO FAA WAYAONDOE?!
NAYE HUYU ASIWE NDUMILAKUWILI. SEMA MKATABA HUU NI KUUZA TANGANYIKA. BLACK IS BLACK, WARIOBA USILEMBE ULIMI, USIMUOGOPE SAMIA
 
Yule mtu tumwogope maana hii habari aliileta tokea juzi km tetesi ajabu leo mzee kahojiwa na kasema vilevile inamaana yule dada yupo jikoni kwa wazee anawasikia wanavyoongea
Ata ww pia ila sion wa kumwogopa humu
 
Back
Top Bottom