Jaji werema nae aapishwa kuwa wakili (advocate)

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Baada ya kubana na kuwaletea mizengwe isiyo na sababu wanasheria waliopo katika Sekta ya Umma kutoapishwa kuwa mawakili, sasa Sera za Ofisi ya Mwanasheria Mkuu zinaonekana kubaldilika kapisa ambapo tarehe 17.12.2012 baaadhi ya mawakili wa Serikali akiwemo Jaji Fredrick Werema waliingia kwenye kumbukumbu za Uwakili wa Kujitegemea (Advocates) kwa kuapishwa na Jaji Mkuu kuwa Mawakili. Hii inaonesha upeo mpya wa kutambua kuwa kuwazuia wanasheria walipo katika utumishi wa umma kutoapishwa kulikuwa ni ukosefu wa utashi na kuwapotezea muda wao bure kwani mpaka sasa hakuna sheeria yeyote inayozuia jambo hilo na kwamba hakuna pia Sheria inayozuia Mawakili Binafsi wasiajiriwe kwenye sekta ya Umma.


Ni matarajio yetu kuwa baada ya Mawakili wa Serikali kuapishwa, Idara ya Mahakama nayo itaona ipo haja sasa kuwaruhusu pia Mahakimu waapishwe kwani kuna tabaka kati ya Mahakimu na Majaji ambapo Majaji karibia wengi wametokana na Mawakili binfasi (Advocates) wakati Mahakimu wanazuiwa kwa kile kinachelezwa kuwa ni mgongano wa Maslahi. Kama ilivyo kwa Mawakili wa Serikali, kwa upande wa Idara ya Mahakama, hakuna Sheria inayozuia Mwanasheria aliyekwisha kuwa Wakili kuomba kazi ya Uhakimu. Katika zama hizi ambapo ni rahisi kwa mwanasheria kupata Uwakili hasa baada ya kuanza mfumo wa Shule ya Sheria (LAW SCHOOL),uwezekano wa kuwa na matabaka (mahakimu ambao ni mawakili na wale wasio upo wazi). Kinachaswa kufanyika ni kuwaruhusu wote waapishwe lakini wasipewe vyeti vya kuwaruhusu kufanya kazi ya uwakili binafsi (Practising Certificates) wakati wakiwa bado katika utumishi wa umma.


ORODHA YA MAWAKILI WAOMBAJI WAPYA
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TH]NA[/TH]
[TH]JINA[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]1[/TH]
[TH]MR. JUSTICE FREDRICK MWITA WEREMA[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]2[/TH]
[TH]MR. ELIEZER FELESHI MBUKI[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]3[/TH]
[TH]MR. ALI SAID MCHUMO[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]4[/TH]
[TH]MR. JENERALI ULIMWENGU[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]5[/TH]
[TH]MRS MARY STEPHEN LYIMO[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]6[/TH]
[TH]MR. DAMIAN KIDENDA MUGAYO SENYONI[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]7[/TH]
[TH]MS. RITA AWIDI ELIPHASE AKENA[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]8[/TH]
[TH]MR. DONALD LUCAS CHIDOWU[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]9[/TH]
[TH]MS. PATIENCE KILANGA NTWINA[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]10[/TH]
[TH]MS. MARY MOSES JONAS NDESI KEJO [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]11[/TH]
[TH]MS. MONICA PETER OTARU[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]12[/TH]
[TH]MR. JERRY ELIHAKI MBURI[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]13[/TH]
[TH]MR. JOSEPH JOHN KINEMELA NDUNGURU[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]14[/TH]
[TH]MR. THEOPHIL ZEPHURINI MAJUNANGOMA RUGONZIBWA[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]15[/TH]
[TH]MR. SAZI BUNDALA SALULA[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]16[/TH]
[TH]MR. CHARLES NDALAHWA JULIUS KENYELA[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]17[/TH]
[TH]MR. GABRIEL ALEXANDER RUTAGWANDA[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]18[/TH]
[TH]MR. LEONARD MICHAEL MASHAKA[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]19[/TH]
[TH]MR. NASSOR KHAMIS MOHAMED[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]20[/TH]
[TH]MR. SIRILIUS BERTAM KWAZIDORO MATUPA[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]21[/TH]
[TH]MS. BLASILIA ATHANAS KINANO[/TH]
[/TR]
[/TABLE]


JE,kuapishwa kwa Werema kunapingana na Sheria? Soma haya aliyasema Naibu Mwanasheria Mkuu Masaju!!
 

Attachments

Reactions: SMU
Kama Werema kaapishwa kuwa wakili sijui atakuja kumtetea nani?

Huyu Werema ni bonge la Kilaza, yaani labda akamtetee mkewe mahakamani lakini sio watu wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…