William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Mkuu Nziku,
Heshima mbele, ubalozi kwa kawaida ni nafasi maalum kwa ajili ya rais kuwapa waliomsaidia kushinda uchaguzi,
the matter of fact sisi bongo ni moja kati ya nchi chache sana duniani ambao angalau tunajali qualifications,
Kuna nchi kama USA, mwananchi mmoja tajiri alimchangia Bush kwenye kampeni, na kudai anataka ubalozi Italy, mwingine alidai ubalozi wa Kenya, ili atuime muda mwingi kwenda mbugani, na hawa walisema nia zao mbele ya public, na Bush aliposhinda wakawa.
Mimi kwa mtazamo wangu nadhani kuteuliwa kwa Jaka Mwambi ni zawadi ambayo amepewa na kuachwa kwa Chokala ni matokeo ya Kugombea kinyang'anyiro na maswala ya Ukraine pamoja na kwamba kwa kipindi chake alichokaa Moscow pamekuwa nauhusiano mzuri wa Tanzania na Urusi katika nyanja ya elimu.
1. Lusinde alikuwa balozi China na Kenya, huku akiwa mjumbe wa NEC na alikuwa akihudhuria vikao vyote bila tatizo.
2. Tunao mabalozi wa qualifications, na mabalozi wa zawadi, na wale ambao ni threat kwa waliopo madarakani, kwa kawaida supporting staff ya any ubalozi huwa ni very srong academically, kwamba it does not matter uwezo wa balozi kikazi, ndio maana siwezi kupoteza usingizi wangu na qualifications za mabalozi wetu,
ukweli ni kwamba, it is a none ishu!
FMES said:Mabalozi kuwa au kutokuwa na qualifications ni a none-ishu, kwani Mahalu si ni professor, au?
Mkuu hiyo mob justice na umaarufu unaoutafuta hapa kwa kutumia jina langu hutaupata kwamwe, maana members hapa wanajua ninachosimamia, yaani taifa,
Mahalu ni professor, je hakuwa qualified kuwa kuwa balozi? Mkuu labda ulilie kubadilishwa katiba, otherwise rais ataendelea kuwachagua anowataka, regardless ya uwezo wao na wewe utaendelea kujaza post hapa na kunililia,
mkuu ni uamuzi wa rais kumpa mtu anayemtaka madaraka kwa mujibu wa katiba yetu sio katiba yangu FM-ES, get that mkuu!
1. Lusinde alikuwa balozi China na Kenya, huku akiwa mjumbe wa NEC na alikuwa akihudhuria vikao vyote bila tatizo
Hawa watu wanaosema kuwa matumizi mabaya ya vyeo na mali ya umma kuwa ni non-ishu, na kutetea kila wakuu bongo wanachofanya hata kama ni utumbo nafikiri ni sehemu ya mafisadi. Mnasemaje waungwana JF?
1. Ujumbe wa NEC ni kazi ya kumfanya mtu asifanye kazi ya kumpatia kipato? Unasema ujumbe wa NEC ni a full time job? is that what you are saying mkuu? are you serious?
2. Unasema kuwa ubalozi ni another level kuliko unaibu katibu wa CCM taifa, what a nonesense? Mwambi kama hana uwezo kiuongozi alikuwa hatari kwa taifa akiwa naibu-katibu wa CCM au akiwa balozi Urusi?
Jaka Mwambi is an ideologue with neither qualifications nor experience in international relations.He is being awarded the ambassadorship as a political favor at the expense of Tanzania's economy and foreign policy.I am against the habit of presidents appointing emissaries based on political favors.There are so many bright diplomats that can do the job much better.This is my outrage.