May Day JF-Expert Member Joined May 18, 2018 Posts 6,311 Reaction score 9,027 May 27, 2021 #101 Mimi huwa sioni sababu ya Mtu kupaniki eti kisa amezushiwa kifo...haina maana yoyote kwa sababu mwisho wa siku kifo kipo palepale na hata anayemzushia Mwenzake nae hakitamuacha.
Mimi huwa sioni sababu ya Mtu kupaniki eti kisa amezushiwa kifo...haina maana yoyote kwa sababu mwisho wa siku kifo kipo palepale na hata anayemzushia Mwenzake nae hakitamuacha.
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI JF-Expert Member Joined Oct 29, 2019 Posts 9,863 Reaction score 20,806 May 27, 2021 #102 Asante yahwe JK yu mzima!!
Abul Aaliyah JF-Expert Member Joined Nov 8, 2016 Posts 7,718 Reaction score 5,899 May 27, 2021 #103 Alitaka kiki mpka ktk korona ikamfyekelea kuzimu johnthebaptist said: Jiwe yeye mwenyewe ni Kiki tosha haitaji wapambe! Click to expand...
Alitaka kiki mpka ktk korona ikamfyekelea kuzimu johnthebaptist said: Jiwe yeye mwenyewe ni Kiki tosha haitaji wapambe! Click to expand...
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 May 27, 2021 #104 Pslmp said: Ukweli mchungu, Kuanzia kigogo na wote mnaoendekeza sjui sukuma gang, sijui mataga, ndio chanzo kikubwa na mwendelezo wa ukanda, ukabila n.k Haya mambo ya kusema vibaya kabila Fulani, safari ya kama Taifa moja, itatugharimu Click to expand... Awamu ya 5 ndiyo chanzo cha yote hayo...Ndiyo effect yake hiyo.
Pslmp said: Ukweli mchungu, Kuanzia kigogo na wote mnaoendekeza sjui sukuma gang, sijui mataga, ndio chanzo kikubwa na mwendelezo wa ukanda, ukabila n.k Haya mambo ya kusema vibaya kabila Fulani, safari ya kama Taifa moja, itatugharimu Click to expand... Awamu ya 5 ndiyo chanzo cha yote hayo...Ndiyo effect yake hiyo.
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 May 27, 2021 #105 Acha matusi ya reja reja. zandrano said: JK ndiye hazina pekee iliyo baki ktk Taifa la Tanzania na hata Afrika Mashariki na kati. ni tegemeo kwa ukanda wote wa maziwa makuu n.k. kwa kifupi ndio nguzu ya katikati iliyo shika paa la nyumba. Tunaomba uongozi wa Mama Samia umlinde na umtunze kwa umakini mkubwa.lkn zaidi tuna muombea Mungu amlinde. Click to expand...
Acha matusi ya reja reja. zandrano said: JK ndiye hazina pekee iliyo baki ktk Taifa la Tanzania na hata Afrika Mashariki na kati. ni tegemeo kwa ukanda wote wa maziwa makuu n.k. kwa kifupi ndio nguzu ya katikati iliyo shika paa la nyumba. Tunaomba uongozi wa Mama Samia umlinde na umtunze kwa umakini mkubwa.lkn zaidi tuna muombea Mungu amlinde. Click to expand...
simplemind JF-Expert Member Joined Apr 10, 2009 Posts 16,418 Reaction score 9,209 May 27, 2021 #106 hydroxo said: Sukuma gang watanuna. Click to expand...
Bams JF-Expert Member Joined Oct 19, 2010 Posts 19,362 Reaction score 48,879 May 27, 2021 #107 gimanini said: Hivi wanaosema kashiriki kumuua rais JPM Ni kweli au ni kuchafuana Click to expand... Wanaosema hivyo, ni vichaa. Msiba tangu lini akawa na akili!!
gimanini said: Hivi wanaosema kashiriki kumuua rais JPM Ni kweli au ni kuchafuana Click to expand... Wanaosema hivyo, ni vichaa. Msiba tangu lini akawa na akili!!
M Mamy K JF-Expert Member Joined Apr 30, 2017 Posts 3,154 Reaction score 11,082 May 27, 2021 #108 longi mapexa said: Alikua anapima kiwango cha mahaba ya watanzania kwake. Click to expand... mahaba yapo tunampenda balaaa
longi mapexa said: Alikua anapima kiwango cha mahaba ya watanzania kwake. Click to expand... mahaba yapo tunampenda balaaa
M Maghayo JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 20,307 Reaction score 47,210 May 27, 2021 #109 radika said: Keleng'ende Click to expand... Nini wewee Semenya