Jakaya Kikwete ashiriki mahafali ya 51 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Leo Mei 27, 2021. Humphey Polepole naye afanikiwa kuhitimu

Mimi huwa sioni sababu ya Mtu kupaniki eti kisa amezushiwa kifo...haina maana yoyote kwa sababu mwisho wa siku kifo kipo palepale na hata anayemzushia Mwenzake nae hakitamuacha.
 
Ukweli mchungu, Kuanzia kigogo na wote mnaoendekeza sjui sukuma gang, sijui mataga, ndio chanzo kikubwa na mwendelezo wa ukanda, ukabila n.k

Haya mambo ya kusema vibaya kabila Fulani, safari ya kama Taifa moja, itatugharimu

Awamu ya 5 ndiyo chanzo cha yote hayo...Ndiyo effect yake hiyo.
 
Acha matusi ya reja reja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…