Nyambala JF-Expert Member Joined Oct 10, 2007 Posts 4,465 Reaction score 1,171 Apr 21, 2011 Thread starter #21 Abdulhalim said: Ukiwachukulia serious hawa 'waishiwa' utaishia kuwa chizi Click to expand... Kabisa mkuu, I think this statement sums up everything kuhusiana na hawa jamaa.
Abdulhalim said: Ukiwachukulia serious hawa 'waishiwa' utaishia kuwa chizi Click to expand... Kabisa mkuu, I think this statement sums up everything kuhusiana na hawa jamaa.
Onduru Ogy JF-Expert Member Joined Feb 8, 2011 Posts 1,136 Reaction score 1,179 Dec 12, 2014 #22 Hatimaye wameteuliwa wakuu wa chuo hiki, walobeza waje wachochee tena maendeleo mengine kuanzia hatua hii ilofikiwa naJK.
Hatimaye wameteuliwa wakuu wa chuo hiki, walobeza waje wachochee tena maendeleo mengine kuanzia hatua hii ilofikiwa naJK.
M majeshi 1981 JF-Expert Member Joined Dec 7, 2013 Posts 2,090 Reaction score 812 Dec 19, 2014 #23 onduru ogy said: Hatimaye wameteuliwa wakuu wa chuo hiki, walobeza waje wachochee tena maendeleo mengine kuanzia hatua hii ilofikiwa naJK. Click to expand... hakika, chuo kikuu cha kilimo cha MWALIMU JK NYERERE kipo njiani, je ? kile cha katavi vipi?
onduru ogy said: Hatimaye wameteuliwa wakuu wa chuo hiki, walobeza waje wachochee tena maendeleo mengine kuanzia hatua hii ilofikiwa naJK. Click to expand... hakika, chuo kikuu cha kilimo cha MWALIMU JK NYERERE kipo njiani, je ? kile cha katavi vipi?
Utingo JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 10,266 Reaction score 8,085 Dec 19, 2014 #24 if you think big....you can not think of ccm and it's leadership
S stormryder JF-Expert Member Joined Mar 23, 2013 Posts 3,776 Reaction score 5,786 Dec 20, 2014 #25 Majengo ya mwanzo ni Oswald Mang'ombe High School,kitafunguliwa mwaka 2015