Pre GE2025 Jakaya Kikwete: Ushindi wa CCM 2025 Hauna Mjadala

Pre GE2025 Jakaya Kikwete: Ushindi wa CCM 2025 Hauna Mjadala

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Jogoo 🐓 limeshawika Dodoma. Makada mbalimbali na wazee maarufu na viongozi mbalimbali mashuhuri wanaendelea kuunguruma na kuzungumza juu ya uimara , ushupavu, umadhubuti na uhodari wa CCM.

Lakini kubwa zaidi wote kwa pamoja na umoja wao wanaendelea kummiminia sifa na pongezi sifa na pongezi kubwa sana Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa uchapakazi wake na kazi kubwa aliyoifanya ndani ya muda mfupi wa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi.

Katika muendelezo huo wa kumwaga na kumimina sifa na pongezi kwa Nahodha wetu imara Daktari Mama Samia. Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Rais wetu Mstaafu amemimina sifa na kummwagia pongezi nyingi sana Rais Samia kwa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi.jambo ambalo limerahisisha sana safari ya CCM kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka huu na kusema kuwa ushindi wa CCM hauna mjadala mwaka huu.ni lazima CCM ishinde tuuuu.

Vile vile amempongeza Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Daktari Hussein Mwinyi katika kutekeleza ilani ya CCM.

Kwa hakika CCM ni baba lao, ni Dude moja kubwa sana ambalo huwezi ukashindana nalo na ukalishinda. CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM yenyewe.ni ngumu sana kwa mwenye akili Timamu ukawa nje ya CCM. Ni raha sana kuwa CCM na mwana CCM. Najivunia kuwa mwana CCM.

Screenshot_20250119-132229_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Tangu alivyomuuliza swali magufuri ameshindwa kujibu.jina lake lipo kifungoni,hata wanaomsaidia Rais kuteua hawawezi kupeleke jina lake.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jogoo 🐓 limeshawika Dodoma. Makada mbalimbali na wazee maarufu na viongozi mbalimbali mashuhuri wanaendelea kuunguruma na kuzungumza juu ya uimara , ushupavu, umadhubuti na uhodari wa CCM.

Lakini kubwa zaidi wote kwa pamoja na umoja wao wanaendelea kummiminia sifa na pongezi sifa na pongezi kubwa sana Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa uchapakazi wake na kazi kubwa aliyoifanya ndani ya muda mfupi wa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi.

Katika muendelezo huo wa kumwaga na kumimina sifa na pongezi kwa Nahodha wetu imara Daktari Mama Samia. Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Rais wetu Mstaafu amemimina sifa na kummwagia pongezi nyingi sana Rais Samia kwa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi.jambo ambalo limerahisisha sana safari ya CCM kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka huu na kusema kuwa ushindi wa CCM hauna mjadala mwaka huu.ni lazima CCM ishinde tuuuu.

Vile vile amempongeza Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Daktari Hussein Mwinyi katika kutekeleza ilani ya CCM.

Kwa hakika CCM ni baba lao, ni Dude moja kubwa sana ambalo huwezi ukashindana nalo na ukalishinda. CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM yenyewe.ni ngumu sana kwa mwenye akili Timamu ukawa nje ya CCM. Ni raha sana kuwa CCM na mwana CCM. Najivunia kuwa mwana CCM.

View attachment 3206215

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.


HUYU HATUMSAHAU WALA HATUMSAMEHE KWA KUAMRISHA JESHI KUMLAZIMISHA MAREHEMU JECHA KUFUTA UCHAGUZI WA 2015 Zanzibar baada ya kuona CCM imeshindwa wazi wazi uchaguzi.



View: https://www.youtube.com/watch?v=p8nKOnkVx8c&pp=ygUrQWxpIGthcnVtZS4gQ0NNIGhhaXNoaW5kaSB1Y2hhZ3V6aSBaYW56aWJhcg%3D%3D
 
Wevi wakuu wa kura na pia mali ya umma, msio hata na chembe ya aibu.
 
Mh. Kikwete kwa tume huru na katiba moya CCM yako hata wabunge 10 haipati.

Hili unalijua fika na kuna muda ulikaririwa ukisema bila Rushwa CCM hamna kitu.
 
Back
Top Bottom