Elections 2010 JAKAYA KIKWETE: utakomaa lini?

miaka sita, saba kasoro

mimi nauliza swali utakomaa lini? Nchi yetu inazidi kurudi nyuma

ulipomaliza miaka yako mitano ulisema unajifunza, je hadi sasa unajifunza?

unairudisha nyuma mwenyewe kwa kujibwetekesha na kusubiri chakula uletewe mpaka mdomoni kwako. Na ukiendelea hivo mbona milele utalalamika njaa. Halafu ivi ulimpa kura yako? Mbona unakaa una muandika andika? Nyie simnasema raisi wenu ni slaa basi muulize uliyempa kura yako.
 
Ameshakomaa kwa nafasi yake, akizidi hapo atakatika! ndio maana anauthubutu wa kuwavua magamba/makobe ya CCM, sasa hapo mnataka ukomavu gani?
 

nani anajirudisha nyuma?

Watanzania wanakufa huja jamaa hajiamini na anachoongea akiongea leo kesho anasahau
 

hapo kwenye nyota embu andika tena kwa ubunifu wa kuacha space eg. ****** inakua mkwèré au m k were.
 
Miaka sita, saba kasoro

Mimi nauliza swali utakomaa lini? Nchi yetu inazidi kurudi nyuma

Ulipomaliza miaka yako mitano ulisema unajifunza, je hadi sasa unajifunza?


Ameingia with no plan for the nation: amefanikiwa kufanya usanii-kujilimbikizia mali, na mipasho na anaondoka with no accountability. This is only possible in Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…