JakayaKikwete Tumia Mamlaka Yako Kikatiba Utuandikie Katiba Mpya Wapende Wasipende

JakayaKikwete Tumia Mamlaka Yako Kikatiba Utuandikie Katiba Mpya Wapende Wasipende

ZenaTulivu

Senior Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
137
Reaction score
4
Kwa nini kila alitendalo raisi wengine hamtaki hata kulivumilia mkaone matokeo yake yakoje? JK tumia mamlaka yako ilionayo kikatiba, busara zako ukatuandikie katiba mpya mwaka huu.

Sisi tunachokitaka ni utulivu na amani nchini. Hao watu wanaokupinga karibu kwa kila ulitendalo nani kawambia unao ubia na mtu kwenye urais wako.

Sisi CUF tutakupa kila aina ya ushirikiano unaoutaka katika hili. Kwa nini raisi wa nchi hii asipokua mkristo ahangaishwe namna hii? Yaani watu hamna hata aibu?
 
Mwaka wa 2011 hatutaki kelele za katiba tena kwani suala hilo tayari inafanyiwa kazi na mamlaka husika.
 
Hii dhana ya 'WAPENDE WASIPENDE' inatoka wapi? Na jee, 'wapende wasipende' ikiachiwa nafasi kushamiri katika jamii yetu tutafika kweli?
 
The ignorant man always adores what he cannot understand.
 
/////Kwa nini kila alitendalo raisi wengine hamtaki hata kulivumilia mkaone matokeo yake yakoje? JK tumia mamlaka yako ilionayo kikatiba, busara zako ukatuandikie katiba mpya mwaka huu.

Sisi tunachokitaka ni utulivu na amani nchini. Hao watu wanaokupinga karibu kwa kila ulitendalo nani kawambia unao ubia na mtu kwenye urais wako.

Sisi CUF tutakupa kila aina ya ushirikiano unaoutaka katika hili. Kwa nini raisi wa nchi hii asipokua mkristo ahangaishwe namna hii? Yaani watu hamna hata aibu? ///////

Ninayo hapa katiba mezani-nijibu mamlaka ipi ya rais kikatiba ya kutengeneza katiba mpya (narudia neno mpya). hizo red bolded phrases zimenifanya nikujue upeo na uwezo wako wa kufikiri. Madrasa-nnur
 
Mwaka wa 2011 hatutaki kelele za katiba tena kwani suala hilo tayari inafanyiwa kazi na mamlaka husika.

MS: baada ya kupelekwa kifungoni umekuja kivingine, embu tuambie ni mamlka zipi zinazohusika na utengenezaji wa katiba mpya?
 
/////Kwa nini kila alitendalo raisi wengine hamtaki hata kulivumilia mkaone matokeo yake yakoje? JK tumia mamlaka yako ilionayo kikatiba, busara zako ukatuandikie katiba mpya mwaka huu.

Sisi tunachokitaka ni utulivu na amani nchini. Hao watu wanaokupinga karibu kwa kila ulitendalo nani kawambia unao ubia na mtu kwenye urais wako.

Sisi CUF tutakupa kila aina ya ushirikiano unaoutaka katika hili. Kwa nini raisi wa nchi hii asipokua mkristo ahangaishwe namna hii? Yaani watu hamna hata aibu? ///////

Ninayo hapa katiba mezani-nijibu mamlaka ipi ya rais kikatiba ya kutengeneza katiba mpya (narudia neno mpya). hizo red bolded phrases zimenifanya nikujue upeo na uwezo wako wa kufikiri. Madrasa-nnur


Huenda watu wengine tayari wamerukwa akili kabisa katika suala hili la katiba mpya. Hata hivyo napata faraja kwamba HAKUNA LINALOWEZA KUTENDWA KWA MAFANIKIO CHINI YA JUA bila wananchi kuridhia na zaidi kutoa ushirikiano wao.
 
Kwa nini kila alitendalo raisi wengine hamtaki hata kulivumilia mkaone matokeo yake yakoje? JK tumia mamlaka yako ilionayo kikatiba, busara zako ukatuandikie katiba mpya mwaka huu.

Sisi tunachokitaka ni utulivu na amani nchini. Hao watu wanaokupinga karibu kwa kila ulitendalo nani kawambia unao ubia na mtu kwenye urais wako.

Sisi CUF tutakupa kila aina ya ushirikiano unaoutaka katika hili. Kwa nini raisi wa nchi hii asipokua mkristo ahangaishwe namna hii? Yaani watu hamna hata aibu?

Hebu nenda kaone kiongozi wako huyu alivyopagawa ikulu. Kuiba cha watu ni mbaya sana.
 
Kwa nini kila alitendalo raisi wengine hamtaki hata kulivumilia mkaone matokeo yake yakoje? JK tumia mamlaka yako ilionayo kikatiba, busara zako ukatuandikie katiba mpya mwaka huu.

Sisi tunachokitaka ni utulivu na amani nchini. Hao watu wanaokupinga karibu kwa kila ulitendalo nani kawambia unao ubia na mtu kwenye urais wako.

Sisi CUF tutakupa kila aina ya ushirikiano unaoutaka katika hili. Kwa nini raisi wa nchi hii asipokua mkristo ahangaishwe namna hii? Yaani watu hamna hata aibu?

Watu wa aina yako huwa najiuliza kama kweli wana uraia wa Tanzania tu..
 
Kwa nini kila alitendalo raisi wengine hamtaki hata kulivumilia mkaone matokeo yake yakoje? JK tumia mamlaka yako ilionayo kikatiba, busara zako ukatuandikie katiba mpya mwaka huu.

Sisi tunachokitaka ni utulivu na amani nchini. Hao watu wanaokupinga karibu kwa kila ulitendalo nani kawambia unao ubia na mtu kwenye urais wako.

Sisi CUF tutakupa kila aina ya ushirikiano unaoutaka katika hili. Kwa nini raisi wa nchi hii asipokua mkristo ahangaishwe namna hii? Yaani watu hamna hata aibu?


Dah, watu wengine hata nashindwa kuwaelewa vizuri.

Unasema atumie mamlaka ya Katiba Mbovu kutengeneza katiba Nzuri??:A S-confused1:😛eep:
 
duh kazi tunayo ZENA TULIVU ...wake up ts almost 12 Noon ..4January2011
 
Kwa nini kila alitendalo raisi wengine hamtaki hata kulivumilia mkaone matokeo yake yakoje? JK tumia mamlaka yako ilionayo kikatiba, busara zako ukatuandikie katiba mpya mwaka huu.

Sisi tunachokitaka ni utulivu na amani nchini. Hao watu wanaokupinga karibu kwa kila ulitendalo nani kawambia unao ubia na mtu kwenye urais wako.

Sisi CUF tutakupa kila aina ya ushirikiano unaoutaka katika hili. Kwa nini raisi wa nchi hii asipokua mkristo ahangaishwe namna hii? Yaani watu hamna hata aibu?

NDANI YA MIWANI YA UDINI CHONGO UTAITA KENGEZA. RAIS WAKO ATUMIE KATIBA MBOVU KUANDIKA KATIBA NZURI HAIWEZEKANI. ILA HATA HIYO KATIBA MBOVU INAELEKEZA TARATIBU ZA MABADRIKO YA KATIBA AU UANDIKAJI WA KATIBA MPYA. TARATIBU AMBAZO KESHA ZIVUNJA KWA KUJIPA MADDARAKA YA KUUNDA HIYO TUME.

ANAPONGEZWA SANA KWA KUONA UMUHIMU W KUWA NA KATIBA MPYA TATIZO NI KIMBELE FRONT CHA NKUTAKA KUWA ON CONTORL ILI ACHAKACHUE. uNAUMWA NA NYOKA MARA MOJA TU UKIONA KAMBVA LAZIMA USHITUKE.

MIMI SINA CHAMA TENA NIKO NJE YA NCHI LAKINI KUVAA MIWANI YA UDINI KWANGU NATAMBUA NI KICHEFU CHEFU CHA CCM NA CUF KINANIKERA KWA KUPITIA UWAKALA WA JMK.
 
Kwa nini kila alitendalo raisi wengine hamtaki hata kulivumilia mkaone matokeo yake yakoje? JK tumia mamlaka yako ilionayo kikatiba, busara zako ukatuandikie katiba mpya mwaka huu.

Sisi tunachokitaka ni utulivu na amani nchini. Hao watu wanaokupinga karibu kwa kila ulitendalo nani kawambia unao ubia na mtu kwenye urais wako.

Sisi CUF tutakupa kila aina ya ushirikiano unaoutaka katika hili. Kwa nini raisi wa nchi hii asipokua mkristo ahangaishwe namna hii? Yaani watu hamna hata aibu?

Jaji Mkuu na Mwanasheria Mkuu wa Tanzania ni Werema ! Naogopa kuandika Craaaaaaaap
 
Kwa nini kila alitendalo raisi wengine hamtaki hata kulivumilia mkaone matokeo yake yakoje? JK tumia mamlaka yako ilionayo kikatiba, busara zako ukatuandikie katiba mpya mwaka huu.

Sisi tunachokitaka ni utulivu na amani nchini. Hao watu wanaokupinga karibu kwa kila ulitendalo nani kawambia unao ubia na mtu kwenye urais wako.

Sisi CUF tutakupa kila aina ya ushirikiano unaoutaka katika hili. Kwa nini raisi wa nchi hii asipokua mkristo ahangaishwe namna hii? Yaani watu hamna hata aibu?

Amani bila haki, hiyo sahau. Na mwaka huu mpaka 2015 hatutulii mpaka kieleweke. Haiwezekani tukawa na mchakachuaji anafanya madudu halafu tuendelee kumpigia magoti. Haipo. Tutapambana. Ni bora kufa tumesimama kuliko kuishi tukiwa tumepiga magoti.
 
Mwaka wa 2011 hatutaki kelele za katiba tena kwani suala hilo tayari inafanyiwa kazi na mamlaka husika.

Wewe Zena Tulivu hivi uko hapa nchini kweli!!!! Twambie ni sehemu ipi ya katiba ya sasa inampa kikwete mamlaka ya kuandika katiba. Hebu jaribu kuficha utupu wako katika mambo haya!!!!
 
Kwa nini kila alitendalo raisi wengine hamtaki hata kulivumilia mkaone matokeo yake yakoje? JK tumia mamlaka yako ilionayo kikatiba, busara zako ukatuandikie katiba mpya mwaka huu.

Sisi tunachokitaka ni utulivu na amani nchini. Hao watu wanaokupinga karibu kwa kila ulitendalo nani kawambia unao ubia na mtu kwenye urais wako.

Sisi CUF tutakupa kila aina ya ushirikiano unaoutaka katika hili. Kwa nini raisi wa nchi hii asipokua mkristo ahangaishwe namna hii? Yaani watu hamna hata aibu?

Wewe ni Muislamu wa Aina Gani? Nyie Ndio Hawa OSama Anaetusumbua Duniani Kote. Haya Majambazi Wewe Ndio Dini Yenu Inasimama Juu ya Haya. Inawezekana Wewe na JK Mtaua Hii Dini Tanzania. JK na Mafisadi Walichokifanya Dowans, EPA, Bank Kuu, Migodini na Uzembe Kila Idara na Sasa Kuwaua kw Risasi Wananchi Arusha ni Uislamu Huo? Kama Kiongozi ni Mkristo Feki au Muislamu Faki Wote Tunawaumbua Hakuna Udini na Mnajaribu Kupeleka Uzembe wa JK Kwenye Udini na Hamtafanikiwa This Anymore Watanzani Sio Wote Wajinga Kama Wewe. Wanaokufa Tanzania Wote ni Wakikristo na Waislamu. Kaa Chini Wewe Kada wa CCM. Moto Mpaka Uwawakie Majumbani Kwenu na Wake Zenu Watawaacha Kipindi Hiki.
 
Kwa nini kila alitendalo raisi wengine hamtaki hata kulivumilia mkaone matokeo yake yakoje? JK tumia mamlaka yako ilionayo kikatiba, busara zako ukatuandikie katiba mpya mwaka huu.

Sisi tunachokitaka ni utulivu na amani nchini. Hao watu wanaokupinga karibu kwa kila ulitendalo nani kawambia unao ubia na mtu kwenye urais wako.

Sisi CUF tutakupa kila aina ya ushirikiano unaoutaka katika hili. Kwa nini raisi wa nchi hii asipokua mkristo ahangaishwe namna hii? Yaani watu hamna hata aibu?

CUF ni CCMB ni sawa kusema baba anapata ushirikiano na watoto wake!
 
Back
Top Bottom