Jali afya ya macho yako

Shonnah

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
200
Reaction score
55
Habari zenu,
kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia watu wengi wamekuwa na matumizi ya computers hasa maofisini kifaa hiki kinaweza kukuletea matatzo ya macho pia kuna wale wenye matatzo ya kutoona mbali au karibu,night blindness,floater,glaucoma,cataract,migrane,astigmatism,dry eye na lazy eye hayo ni matatzo yanayowapata watu wengi na wamekuwa wakihangaika sana sasa jipatie miwan aina ya Ionspec ambyo itakusaidia kuondkana na tatzo hlo,inatumiwa na kila mtu haina madhara,itaongeza mzunguko wa damu kwenye macho yako..atakaye htaj tuwasiliane kwenye PM
 

Unapatikana wapi
 
Kwa wasioweza hii wamtafute mtoa mada
 

Attachments

  • 1389418195373.jpg
    25.3 KB · Views: 340
hiyo miwani unaitumia kwa muda, au ndo milele? na bei zako zipoje? maana miwani kwa watu wenye kipato cha chini ni issue!
 
Mkuu hiyo miwani inakuwaje
 
Macho yangu ni mekundu nitumie nn wakuu..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…