G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Naishi na mtoto wa dadaangu ni mdogo ana miaka mitano yuko darasa la kwanza ni mkorofi kupita kiasi nadhani tv pia zimechangia huyu mtoto hana woga kichwani mwake, kujieleza kama wakili, anafanya ambacho kichwa kimemtuma,fimbo kwake ni kama ukali wa dawa kwamba ataupata mara moja na utapotea, uharibifu kwake ni sheria anaharibu makabati rimoti na kila anachokipata akiwa peke yake, shuleni haandiki akiandika hasaishi madaftari na kalamu anapoteza mara nyingi sana, akitoka shule anapenda kwenda kuzurula na sisi mda mwingi tunakuwa kazini kwa sasa ameanza wizi ela ya shule nampa kila siku juzi imepotea elfu kumi na tatu anasema ye alibeba elfu tatu tu akaenda kununua juic na biskuit
Hiki kitoto ni kama kijini sijui nikifanyeje au nikichanechane na wembe mda wote kitakua kikijiona kinakumbuka na kuwa kitulivu! Msaada jamani!
Hiki kitoto ni kama kijini sijui nikifanyeje au nikichanechane na wembe mda wote kitakua kikijiona kinakumbuka na kuwa kitulivu! Msaada jamani!