Jamaa abaka hadharani

Drugsssss!!!!!!!!!!!!!!! hawa watu wana laana ya mwisho

Kweli waswahili walitaka kuona movie ya Magma ndo maana wakashindwa msadia huyu dada lakini mwisho wa siku hii dhambi na aibu itawaangukia wale wote waliohusika kwenye hili tukio iwe kwa kushangaa tuu na bila kutoa msaada,ama kusogea eneo la tukio na kufurahia huu upuuzi maana wengi ni wale watoto wanaoshinda chini ya Minazi/Miembe wakicheza Bao washenzi hawa mdebwedo wakubwa,
Jeshi la Polisi ni kimbilio la waliofeli Mitihani yao iwe Fiv ama Fvi So hainipi tabu kuamini kuwa uelewa wao Mdogo walishidwa kumtia Hatiani Huyu Fedhuli, mtoka pabaya mjaa laani mpaka kopeni
 
Dah sasa kama angemkuta mdada wa watu yuko kwenye siku zake ingekuwaje......angempigilia hivyohivyo au
 
No way, this can't be true. Ni kweli polisi wanaogopa JW lakini inapotokea kama hivyo wanakamata na kusweka ndani!! Wanahabarihebu fuatilieni hili suala for the raped woman's sake please!!
 
...Mkuu, sina haja ya kutaka kujua Neno ulilotaka kumalizia nalo. Nimekugongea Like kwa Sababu nimehisi ni Hilo Hilo lilinofanya nikugongee like...!!!

haha.. hebu otea basi halafu nikwambie kama umepata au lah! na zawadi utapatiwa.
 
Msimhukumu mbakaji tu,je mmeweza kujua mazingira yaliyotokea mpaka akabaka?actualy kuna baadhi ya matukio mbakwaji ndo hupelekea na kuchochea kwa hicho kitendo,tusubiri hatua za kisheria zifuatwe
 
dam it it cant b posible hao waliokua wanamwangalia nao pia ni wagonjwa what the hell is him kuwashinda umati wa watu wote hao au nao pia walikua wanafurahia kuangalia ujinga huo ndio maana wakashindwa hata kumjeruhi?:A S angry:
 
Una maana gani hapa? Hatutaki mtu aingilie kazi yetu...
 
Kwanza huyo mjeshi hata akikamatwa lazima apimwe akili kabla ya kupandishwa kizimbani maana alicho kifanya si kitendo cha kawaida!

Pili huyo mjenda ina bidi achukuliwe hatua za kisheria maana kafanya kosa under "sexual offences act"
Ni lazima ifike wakati watu tuache kuogopana na kujua haki zetu, kama askari wana muogopa mwanajeshi na amefanya kosa sasa wananchi wafanye nini?

Hii ni nchi ya ajabu sana
ili neno "no one is above the law"
halina maana hapa tanzania!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…