chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakawi kusema kaachiwa urithi mana wabongo asilimia kubwa awasifia mafanikio ya mtu.Wakati anaanza biashara wengine ndio wanamaliza kidato cha nne,Ndani ya 13years amefika hapo.Wakati huo aliyemaliza form4 kipindi hicho bado anatembeza bahasha au anakula take home 400k.Maisha hayana formula
maskini ana connection gani?Bila connection hapa duniani huwez kutoboa...huwez jua wakat anaanza ni watu gan wa muhimu katika kupata taarifa walikuwa wamemzunguka...amekomaa na ameweza bigup
Nakubali bro bila connection mambo ni magumu sana, ndo naufanyia kazi sasa huu msemo na naziona dalili za mafanikio,, eenheee Mungu nisaidie!Bila connection hapa duniani huwez kutoboa...huwez jua wakat anaanza ni watu gan wa muhimu katika kupata taarifa walikuwa wamemzunguka...amekomaa na ameweza bigup
kwa hiyo kwa akili yako unataka kusema mwaka 2005 alipo kuwa machinga,amaefanya umachinga ndani ya miaka 3 awe na duka hapo juu kwenye picha namba 2?maskini ana connection gani?
tusiweke visingizio, kutoboa bila connection inawezekana
yes hata yeye anamtegemea sana huyo anayetembea na bahasha kutafuta take home ya 400KWakati anaanza biashara wengine ndio wanamaliza kidato cha nne,Ndani ya 13years amefika hapo.Wakati huo aliyemaliza form4 kipindi hicho bado anatembeza bahasha au anakula take home 400k.Maisha hayana formula
Huyo ndo hustler sasa. Hongera yake.
Acha kabisa yaaniWakati anaanza biashara wengine ndio wanamaliza kidato cha nne,Ndani ya 13years amefika hapo.Wakati huo aliyemaliza form4 kipindi hicho bado anatembeza bahasha au anakula take home 400k.Maisha hayana formula