uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,085
Ofcoz mtu akishaanza safari huwa kuna vitu anakuta njiani ambazo zingine hakutarajiakwa hiyo kwa akili yako unataka kusema mwaka 2005 alipo kuwa machinga,amaefanya umachinga ndani ya miaka 3 awe na duka hapo juu kwenye picha namba 2?
maskini ana connection gani?
tusiweke visingizio, kutoboa bila connection inawezekana
Ili ufanikiwe unahitajika kufanya kitu sahihi na sehemu sahihi, na hapo inahtajika taarifa sahihi kutoka kwa watu sahihi.....hii itakufanya ukosee mara chache na ufike haraka unapopataka..other factors should remain costant eg, Juhudi, Bidii, uvumilivu, Ujuzi, ubunifu n.k.....najua hukunielewamaskini ana connection gani?
tusiweke visingizio, kutoboa bila connection inawezekana
Hatuna nidhamu ya pesa
Huyo jamaa alivyoanza utakuta alikua anajibana sana
Sisi tukipata 10,000 tunakula 8000
Unasave 2000
Utaendelea kweli?
Tatizo lako unataka kuaminisha ametusua kwa kusaidiwa,je wewe huko kwenye kibarua chako hakuna wa kukusaidia?Hapo cha kujifunza kwa Huyo jamaa ni kua alianza na alichokuwa nacho+uaminifu+malengo.Sasa hata akiwa anapewa malikauli inatokana na kukubalika kwake na wafanyabiashara wakubwa.Nilichojifunza tuache kudharau kazi,sio kujiita mchumi wakati huwezi kulibadilisha hilo jina kuwa pesa+ajira.yes hata yeye anamtegemea sana huyo anayetembea na bahasha kutafuta take home ya 400K
kutoka hatua ya kwanza mwaka 2005 kwenda hatua ya pili mwaka 2009 lazima kuna mtu alimshika mkono kwa kumuongezea mtaji
Bila connection hapa duniani huwez kutoboa...huwez jua wakat anaanza ni watu gan wa muhimu katika kupata taarifa walikuwa wamemzunguka...amekomaa na ameweza bigup
Hujui unachokiongea...utaendelea kubaki hapo hapo ulipoHili neno connection, linatumika na vijana wengi sana kama mwamvuli wa kushindwa kwao... hyo unayoiita connection ni matunda ya mapigano ya mda mrefu...
Tafadhali... tupa huo mwamvuli, uanze kupambana.
Hilo ni janga la taifa.
Siku zote nasema tatizo sio unapata kiasi gani, unafanya nini na unachokipata ndio msingi wa kufanikiwa kwako.
Mkuu sikupingi lakini jaribu kutambua na kuthamini juhudi za huyu jamaa kwanza.
Unakubali kwamba sio kila anaeshikwa mkono anafanikiwa?
Watu wangapi wamepewa kila kitu na wameishia kuleta fedheha?
Iwe itakavyokua, upambanaji wa jamaa umechangia kwa kiasi kikubwa sana kumfikisha hapo.
Sio mitatu ya umachinga ni 4 au 5 kabisa. Kwa kujibana na kupiga kazi inawezekana.kwa hiyo kwa akili yako unataka kusema mwaka 2005 alipo kuwa machinga,amaefanya umachinga ndani ya miaka 3 awe na duka hapo juu kwenye picha namba 2?
Ndio. Unazitaka?Out of topic! sorry hizo lips ndiyo wewe? [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
tena nazitamani sana!Ndio. Unazitaka?
Watu ndio mafanikio...! Peke yako huwezi kufika popote ila na wewe uwe na juhudimaskini ana connection gani?
tusiweke visingizio, kutoboa bila connection inawezekana