Jamaa akila ile kitu lazima alie

Jamaa akila ile kitu lazima alie

senkoP

Senior Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
176
Reaction score
189
Jamani kuna mshkaji hapa akitafuna ile kitu lazima alie kwa sauti tena kubwa mpaka ina leta taharuki kwa jamii, akifika kileleni sasa ndio anatoa lisauti likubwa mpaka majirani tunashangaa kuna nini!

Halafu huyu jamaa hajali pamoja na kututia aibu? Kuna wataalam humu huyu jamaa tunaweza kumsaidieje? Na ni matatizo gani hayo? Na tumemshauri asichukue madem kutokana na hilo tatizo lakini hasikii… rahasha kuna maajabu
 
Andika vizuri kwanza kiongozi Mimi bado sijaelewa.
 
Jamani kuna mshkaji hapa akitafuna ile kitu lazima alie kwa sauti tena kubwa mpk ina leta taharuki kwa jamii , akifika kileleni sasa NDI of anatoa lisauti likubwa mpk majirani tunashangaa kuna nini! Halafu huyu jamaa hajali pmj na kututia aibu? Kuna wataalam humu uyu jamaa anaweza kumsaidieje? Na ni matatizo gani hayo? na tumemshaur asichukue madem kutokana na hilo tatizo lkn hasikii… rahasha kuna maajabu
Akuchukue wewe?
Acha kujipigia debe🏃🏃
 
Jamani kuna mshkaji hapa akitafuna ile kitu lazima alie kwa sauti tena kubwa mpk ina leta taharuki kwa jamii , akifika kileleni sasa NDI of anatoa lisauti likubwa mpk majirani tunashangaa kuna nini! Halafu huyu jamaa hajali pmj na kututia aibu? Kuna wataalam humu uyu jamaa anaweza kumsaidieje? Na ni matatizo gani hayo? na tumemshaur asichukue madem kutokana na hilo tatizo lkn hasikii… rahasha kuna maajabu
Acha tabia za chabo
 
Yawe
Jamani kuna mshkaji hapa akitafuna ile kitu lazima alie kwa sauti tena kubwa mpk ina leta taharuki kwa jamii , akifika kileleni sasa NDI of anatoa lisauti likubwa mpk majirani tunashangaa kuna nini! Halafu huyu jamaa hajali pmj na kututia aibu? Kuna wataalam humu uyu jamaa anaweza kumsaidieje? Na ni matatizo gani hayo? na tumemshaur asichukue madem kutokana na hilo tatizo lkn hasikii… rahasha kuna maajabu
Yaweza kuwa unaongea ki 3rd party, yaani nafsi inayoongelewa ikawa ni wewe mwenyewe mkuu!

Kikubwa usizungushe mada, omba msaada.
 
Jamani kuna mshkaji hapa akitafuna ile kitu lazima alie kwa sauti tena kubwa mpk ina leta taharuki kwa jamii , akifika kileleni sasa NDI of anatoa lisauti likubwa mpk majirani tunashangaa kuna nini! Halafu huyu jamaa hajali pmj na kututia aibu? Kuna wataalam humu uyu jamaa anaweza kumsaidieje? Na ni matatizo gani hayo? na tumemshaur asichukue madem kutokana na hilo tatizo lkn hasikii… rahasha kuna maajabu
Dah,,,[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom