Hahaaaa, alikuwa nanuka kibeberu beberu nini? Du hii kali. Labda aliambiwa asipooga tapata wateja wengi, Wenzake wakamwonea wivu anavyo pata wateja, walipogundua siri ya kupata wateja wakamwogesha. Tuambie hajawashtaki kwa kumwaribia biashara?
Ha haa haaaaaaaaaaaaaaaaa. Good weekend to all