Jamaa Alienda kupima! Kaambiwa ana kansa ya ubongo` jamaa kamwambia Doctor, toa ubongo! Dct! Mmh! Utakufa!!

Jamaa Alienda kupima! Kaambiwa ana kansa ya ubongo` jamaa kamwambia Doctor, toa ubongo! Dct! Mmh! Utakufa!!

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Jamaa mmoja alienda kupima na akagundulika ana kansa ya ubongo!

Jamaa alisikitika sana, mwishowe kamwambia Doctor, Doctor basi ondoa ubongo!

Doctor Akashangaa, akamwambia! Utakufa maana hakuna mtu aweza kuishi bila ubongo!

Jamaa akamwambia Doctor, Siyo kweli doctor! Mbona ccm wanaishi tu!!
 
Jamaa mmoja alienda kupima na akagundulika ana kansa ya ubongo!

Jamaa alisikitika sana, mwishowe kamwambia Doctor, Doctor basi ondoa ubongo!

Doctor Akashangaa, akamwambia! Utakufa maana hakuna mtu aweza kuishi bila ubongo!

Jamaa akamwambia Doctor, Siyo kweli doctor! Mbona ccm wanaishi tu!!
Hahahahahaha 🤣 wanakuja.....
 
e4fffa84-5f0d-47f3-88e4-825abeb2e568.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom