Hahahahahaha 🤣 wanakuja.....Jamaa mmoja alienda kupima na akagundulika ana kansa ya ubongo!
Jamaa alisikitika sana, mwishowe kamwambia Doctor, Doctor basi ondoa ubongo!
Doctor Akashangaa, akamwambia! Utakufa maana hakuna mtu aweza kuishi bila ubongo!
Jamaa akamwambia Doctor, Siyo kweli doctor! Mbona ccm wanaishi tu!!
Ur hubbyAtakua jiwe uyo
Ina ukweli flani hiviJamaa akamwambia Doctor, Siyo kweli doctor! Mbona ccm wanaishi tu!!