Jamaa alipoteza waleti yenye shillingi laki tatu kwenye mnadaakaamua kutangaza :mabibi na mabwana nimepoteza waleti yenye shilingi laki tatu atakayeweza kuirudisha hakiaka nitampatia elfu hamsini.kukawa na kimya, baadae sauti ika sikika "elfu hamsini na mia tano"!!!!!!!!!!!