Jamaa amemkumbatia mke wa Mjeda na kumbusu, kuja kutahamaki kumbe Mwenye Mke alikuwa pembeni ya fensi na panga lake akifyeka miti!

Jamaa amemkumbatia mke wa Mjeda na kumbusu, kuja kutahamaki kumbe Mwenye Mke alikuwa pembeni ya fensi na panga lake akifyeka miti!

MR.NOMA

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
339
Reaction score
505
Wakuu habari za Leo! This is true story.

Imetokea hivi karibuni hapa jijini Dar, Kuna jirani yangu amenisimulia nimshauri afanyaje maana, hivi karibuni akiwa anaingia kupata Moja moto moja baridi kwenye glossary ya jirani yetu mwingine ambaye ni Mjeda na amemfungulia glossary mke wake hapohapo maskani Kwa nje ya fensi.

Basi alipofika akamuomba yule mama amkumbatie ( watoto wa mjini wanaita kumuwao) basi mara pap wakapeana wao jamaa akiwa anaendelea kushikilia kiuono cha yule mama, ghafla akasikia mtu anakata miti kwa panga, kucheki ni mme wa yule mama na alikuwa akiwatazama wanavyopeana kumbatio.

Na mpaka leo inaisha wiki hajamuuliza lolote jamaa, hivyo mwana anaomba nimshauri afanyaje maana kiuhalisia hana uhusiano wowote na yule mama ila ilitokea tu siku hiyo, Sasa hofu ya jirani yangu ni jamaa amelichukuliaje?

Na kwanini alikaa kimya hakuwasemesha?

Na anawaza nini?
 
Wakuu habari za Leo! This is true story. Imetokea hivi karibuni hapa jijini Dar, Kuna jirani yangu amenisimulia nimshauri afanyaje maana, hivi karibuni akiwa anaingia kupata Moja moto moja baridi kwenye glossary ya jirani yetu mwingine ambaye ni Mjeda na amemfungulia glossary mke wake hapohapo maskani Kwa nje ya fensi, bas alipofika akamuomba yule mama amkumbatie ( watoto wa mjini wanaita kumuwao) bas mara pap wakapeana wao jamaa akiwa anaendelea kushikilia kiuono Cha yule mama,ghafla akasikia mtu anakata miti Kwa panga kuka kucheki ni mme wa yule mama na alikuwa akiwatazama wanavyopeana kumbatio. Na mpaka Leo inaisha wiki hajamuuliza lolote jamaa, hivyo mwana anaomba nimshauri afanyaje maana kiuhalisia Hana uhusiano wowote Na yule mama ila ilitokea tu siku hiyo, Sasa hofu ya jirani yangu ni jamaa amelichukuliaje? Na kwanini alikaa kimya hakuwasemesha? Na anawaza nini?
Mwambie akae kwa kutulia tena akanunue KY awe anatembea nayo itamsaidia pindi atakapotatuliwa malinda
 
Wakuu habari za Leo! This is true story. Imetokea hivi karibuni hapa jijini Dar, Kuna jirani yangu amenisimulia nimshauri afanyaje maana, hivi karibuni akiwa anaingia kupata Moja moto moja baridi kwenye glossary ya jirani yetu mwingine ambaye ni Mjeda na amemfungulia glossary mke wake hapohapo maskani Kwa nje ya fensi, bas alipofika akamuomba yule mama amkumbatie ( watoto wa mjini wanaita kumuwao) bas mara pap wakapeana wao jamaa akiwa anaendelea kushikilia kiuono Cha yule mama,ghafla akasikia mtu anakata miti Kwa panga kuka kucheki ni mme wa yule mama na alikuwa akiwatazama wanavyopeana kumbatio. Na mpaka Leo inaisha wiki hajamuuliza lolote jamaa, hivyo mwana anaomba nimshauri afanyaje maana kiuhalisia Hana uhusiano wowote Na yule mama ila ilitokea tu siku hiyo, Sasa hofu ya jirani yangu ni jamaa amelichukuliaje? Na kwanini alikaa kimya hakuwasemesha? Na anawaza nini?

Muuza grocery sio mke wa mtu! Lazima akumbatiwe
 
Mwambie ahame huo Mtaa haraka Sana….ahamie kusikojulikana. Hao wajeda huwa sio watu wazuri.
 
Asubirie na yeye 'kuwaoiwa' na wajeda. Ila aombe waishie kumuwao maana wanaweza hata kumla visivyolika. Aanze kutembea na KY incase yakimkuta ya kumkuta awe tayari tayari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikua nawaangalia tu, hapa bado naendelea kumkanda wife manundu niliomtoa kwa kipigo ile jumamosi. Na huyo mshkaji wako sijui niwewe subiria tu kitakacho kukuta lazima uliwe utumbo...[emoji21][emoji53]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnawa- entertain sana wajeda,mnajipa hofu wanaume wazima.Siku hizi wakizingua tunawatandika sana mtaani.Hadi wamekuwa wastaarabu,fanyeni mazoezi wajeda hawana maajabu.
Wajeda wa siku hizi ni watoto laini nyepenyepe mnawaogopa nini machompe tu hao
 
Watu wanaonaga wajeda ni kama untouchables hivi
Sasa yeye kama kaamua kumfungulia mke auze pombe unafikiri hajui
sio kukumbatiwa tu hata kutongozwa na walevi ni jambo analijua fika

Kunyamaza kwake hapo ni kuwa wifi alijua kabisa kuwa mme wake anafyeka majani na kumbatio ni jambo dogo sana kwa muuzaji wa pombe

Mjeda mjeda
 
Back
Top Bottom