Comrade 01
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 601
- 626
Nimekumbana nao Sana hao.Sasa ndio maana nakwambia hawana maajabu.Yaani uzinguane na raia mmoja,amekupiga halafu uende kikosini ukachukue soldiers wengine Kwa ajili ya raia mmoja!?Huoni ni udhaifu huo?!Hizo knuckles wala hazina msaada ukiwekwa kilingeni[emoji23][emoji23][emoji23],
Utakula doso mpaka utalainika mkuu. Kamasi na machozi vitashikana.
Labda umpige na asijue unaishi wapi.
Kabisa ifike mahali tuheshimiane.Wanaume wa dar hao
I second you!TUJIFUNZE KUCHUNGA MIPAKA BAINA YETU..... MAHUSIANO YETU YAISHIE KWENYE MAMBO YA MSINGI......
TUACHANE NA MAZOEA YASIYO NA MSINGI HASA KWA WAKE AU WAUME ZA WATU.....
Usizoee mkuu, utauliwa!Nimekumbana nao Sana hao.Sasa ndio maana nakwambia hawana maajabu.Yaani uzinguane na raia mmoja,amekupiga halafu uende kikosini ukachukue soldiers wengine Kwa ajili ya raia mmoja!?Huoni ni udhaifu huo?!
Kumbe huwa wanapigwaa sana tyuuh? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekumbana nao Sana hao.Sasa ndio maana nakwambia hawana maajabu.Yaani uzinguane na raia mmoja,amekupiga halafu uende kikosini ukachukue soldiers wengine Kwa ajili ya raia mmoja!?Huoni ni udhaifu huo?!
Hata hao makomandoo wanaovunja mawe kwenye sherehe za Uhuru huwa wanapigwa vizuri.Huwa tunaheshimu uniform tu!Kwasababu ya ule mwenge wa Jamhuri.Kumbe huwa wanapigwaa sana tyuuh? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan nafurahi mjeda akibatuliwa mie roho yangu kwatuuu.
Nyie mnaobahatika kuwaweza hao wajeda, watembezeni kichapo cha mbwa koko hadi wajute kulijua doso, pumbavu zao, nawachukia sana wanajeshi. Msieeeeew
Acha kumuogopa binadamu mwenzio.Hata hao makomandoo huwa wanapigwa vizuri tu!Nao ni binadamu wana mwili wa nyama.Usitishike na zile demo pale Taifa.Fanyeni mazoezi msiwe wanyonge.Usizoee mkuu, utauliwa!
Tufanye mazoezi ili tukapigane na makomandoo siyo!Acha kumuogopa binadamu mwenzio.Hata hao makomandoo huwa wanapigwa vizuri tu!Nao ni binadamu wana mwili wa nyama.Usitishike na zile demo pale Taifa.Fanyeni mazoezi msiwe wanyonge.
Afu wabeba vyuma wengi wa hawana marinda hivi kwa nini mnakua naa vifua vikubwa lkn mnapakatwa
Afu una mkono m baya unajitesa sana pesa ndio kila kitu achana na hayo nakoz mambo mwaka 47
Sio komandoo tu yeyote yule atakaetaka kukuonea.Tufanye mazoezi ili tukapigane na makomandoo siyo!
Sasa mkono mzuri mimi wanini!?Kwani mimi ni demu!? Wanawake wenyewe wazuri wanapenda niwe hivyo.Mwanaume lazima uwe ngangari.Kutafuta pesa ni vita lazima uwe ngangari! "Survival of the fittest".Afu una mkono m baya unajitesa sana pesa ndio kila kitu achana na hayo nakoz mambo mwaka 47
Daah mwanangu umekonda sana na nakoz zangu.Mimi sibebi chuma, mwili wangu wenyewe ni chuma.Acha kukariri wewe piga tizi wewe.🤣Afu wabeba vyuma wengi wa hawana marinda hivi kwa nini mnakua naa vifua vikubwa lkn mnapakatwa
mshauri jamaa yako asikose kilainishi/ Mafuta kwenye mfuko wa shati,Wakuu habari za Leo! This is true story.
Imetokea hivi karibuni hapa jijini Dar, Kuna jirani yangu amenisimulia nimshauri afanyaje maana, hivi karibuni akiwa anaingia kupata Moja moto moja baridi kwenye glossary ya jirani yetu mwingine ambaye ni Mjeda na amemfungulia glossary mke wake hapohapo maskani Kwa nje ya fensi.
Basi alipofika akamuomba yule mama amkumbatie ( watoto wa mjini wanaita kumuwao) basi mara pap wakapeana wao jamaa akiwa anaendelea kushikilia kiuono cha yule mama, ghafla akasikia mtu anakata miti kwa panga, kucheki ni mme wa yule mama na alikuwa akiwatazama wanavyopeana kumbatio.
Na mpaka leo inaisha wiki hajamuuliza lolote jamaa, hivyo mwana anaomba nimshauri afanyaje maana kiuhalisia hana uhusiano wowote na yule mama ila ilitokea tu siku hiyo, Sasa hofu ya jirani yangu ni jamaa amelichukuliaje?
Na kwanini alikaa kimya hakuwasemesha?
Na anawaza nini?
Unakuwa Unafikiria na matako na lazima tumleNipo nje ya mada,
Hivi mwanaume kumfungulia mkeo biashara ya kuuza pombe unakuwa unafikiria Nini?