Jamaa amemkumbatia mke wa Mjeda na kumbusu, kuja kutahamaki kumbe Mwenye Mke alikuwa pembeni ya fensi na panga lake akifyeka miti!

Hata hao makomandoo wanaovunja mawe kwenye sherehe za Uhuru huwa wanapigwa vizuri.Huwa tunaheshimu uniform tu!Kwasababu ya ule mwenge wa Jamhuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hapa lol.
 
Taratiibu basi, mbona umejaa sana? Unachukia mwanajeshi umpende nani sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…