PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Ukifungua app ya insta fanya kusearch jina analotumia Zari liko hapo chini kwenywe picha kisha lifungue upande wa kulia juu utaona vinuka vitatu vifungueMkuu ndio nimejiunga na insta juzi,unaingiaje inbox huko?
Ukifungua app ya insta fanya kusearch jina analotumia Zari liko hapo chini kwenywe picha kisha lifungue upande wa kulia juu utaona vinuka vitatu vifungueukisha bonyeza hapo kwenye vinukta itatokea hivi bonyeza kwenye send massage na endelea kuwasiliana nae
Huwa ipo sehemu gan kwenye cmKuna application ya Instagram downloader
Acha unafiki[emoji106]
Mfundishe kupiga screenshotKuna application ya Instagram downloader
Nitumie user name pmMkuu ndio nimejiunga na insta juzi,unaingiaje inbox huko?
There is a lot of sense in your post, Mange! Great!