Jamaa anamwambia mkewe arudi tumboni kwa mama yake kama hana future

Jamaa anamwambia mkewe arudi tumboni kwa mama yake kama hana future

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Ilikua hivi, alimchumbia akiwa mwanafunzi, ahadi kibao walipeana mpaka ndoto ilipotimia ya jamaa kupeleka posa na kukipa mahari. Mke alielewa hali ya jamaa na alihamia baada ya hatua za mahari kukamilika.

Sasa anataka kusimea mafunzo ya upishi kama ahadi zao walizoahidiana kabla ya ndoa. Mume mishe zimegoma kabisa. Mke alimuomba auze shamba la urithi ili amlipie ada, akimuahidi akimaliza masomo na kuanza biashara ya mama ntilie itawatoa. Mke amesisitiza kuwa hii ndiyo future yake.

Mume anasema kama huna future rudi tumboni kwa mama yako usubiri kuzaliwa. Shamba la urithi hili siuzi. Alilima babu yangu na baba yangu leo mimi niliuze!
 
Ilikua hivi, alimchumbia akiwa mwanafunzi, ahadi kibao walipeana mpaka ndoto ilipotimia ya jamaa kupeleka posa na kukipa mahari. Mke alielewa hali ya jamaa na alihamia baada ya hatua za mahari kukamilika.

Sasa anataka kusimea mafunzo ya upishi kama ahadi zao walizoahidiana kabla ya ndoa. Mume mishe zimegoma kabisa. Mke alimuomba auze shamba la urithi ili amlipie ada, akimuahidi akimaliza masomo na kuanza biashara ya mama ntilie itawatoa. Mke amesisitiza kuwa hii ndiyo future yake.

Mume anasema kama huna future rudi tumboni kwa mama yako usubiri kuzaliwa. Shamba la urithi hili siuzi. Alilima babu yangu na baba yangu leo mimi niliuze!
Jibu Mujarabu sana...nothing but respect to kwa jamaa.
Kwani kwao na mwanamke hawakua na vya urithi wakauza wamsomeshe?au ndo ubinafsi chako chetu changu changu.
 
Simple and clear ila ni fikirishi sana na mtambuka isio kikomo, next level- Wema usizidi uwezo, equate promises with potential delivery, but there will always be micro and macro forces as barriers anytime
 
Back
Top Bottom