Ukisikia mafisadi kaa mbali kabisaa, wanaweza kufanya chochote wakiamua, haya ona sasa wanamuweka spika wanayemtaka wao, ilimradi kuficha mambo yao, yani hawako kimsaidia mlala hoi bali ni maslahi yao tu kwanza. na kazi kubwa ya spika mpya ni kuhakikisha anawasafisha mafisadi ili wagombee urais 2015. "Titakuja toana loho mchanamchana aisee":nono::nono: