Jamaa anatoa kipigo halafu anamalizia na tendo.....


Hii ina uhusiano na serikali kweli?
 
Inawezekana ndo aina ya mapenzi yao
labda jamaa ni akina baba Bhoke Muraaaaaaa
Lakumshauri ajitahidi kuweka ndani panadol na diclofenac
 
mwenye matatizo ni huyo mdada... kwani mwanaume ndio huyo, amekolezwa upuuzi gani mpaka atake kutolewa roho na bado yupo... kweli mapenzi yakizidi ni ungonjwa usotibika.
 
mwenye matatizo ni huyo mdada... Kwani mwanaume ndio huyo, amekolezwa upuuzi gani mpaka atake kutolewa roho na bado yupo... Kweli mapenzi yakizidi ni ungonjwa usotibika.
love is blindooooooo
 
yaani hilo jambo mi sina ubish nalo maana nina ushaidi wa kutosha kuwa kuna mtu ana tabia kama iyo
anatoa kipigo pia anamaliza kwa tendo
 

Hii formula mi nishaijifunza siku nyingi sana kuwa kina dada wanakoleaga kwa wanaume wababe...
 
mwenye matatizo ni huyo mdada... kwani mwanaume ndio huyo, amekolezwa upuuzi gani mpaka atake kutolewa roho na bado yupo... kweli mapenzi yakizidi ni ungonjwa usotibika.

gangster lovin' na mara nyingi wanawake wazuri saana hujikuta mikononi mwa mijitu kama Great khali hapo ubabe mwanzo mwisho na hawaachani kbs kwani mwanamke hujiona ni haki yake kukosea na kubondwa na kulindwa!
 
Kuna wanawake wanaona raha wakipigwa, tena husimulia kwa sifa haswa
 
na wakipata mwanaume hajui kupiga ni dharau mwanzo mwisho....
yah wanamwona kama **** vile, yupo mmoja hivi yan namwangalia simmalizi, yaani anasimulia mwenzenu nimepigwa then mwisho wake mechi kali
unamwangalia hummalizi
 
yah wanamwona kama **** vile, yupo mmoja hivi yan namwangalia simmalizi, yaani anasimulia mwenzenu nimepigwa then mwisho wake mechi kali
unamwangalia hummalizi

vipigo huwa vina dhuru mental state....
na ndo maana hata kuaachanisha inakuwa ngumu
lazima atarudi tu kwa mumewe...ni kisaikolojia zaidi...
 

huo ndo utumwa wa mapenzi . Huyo dada anatumia akili au anatumia moyo kupenda . Mimi nadhan bado anatumia moyo. Mwambie ajirekebishe atakufa kwa kupenda kwake huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…