Jamaa atongoza mkewe bila kujijua

umetumia muda gani kutunga hadithi hii? Mtafute shigongo anatafuta watunzi wa kumsaidia
 
ndio maana umefikisha post 4000. Ngoja na mie nianze kutunga. Daaa nilikuwa najiuliza inakuwaje kumbe ndio hivyo.
 
hata shigongo alianza na hadithi kama hivi zako lakini hakuanzia kwa ma great thinkers kwa sababu wange m discourage kama tunavyo kukatusha tamaa wee na hadithi yako ya kutunga.
nakushauri omba nafasi katika magazeti ya udaku ili ukuze kipaji coz wasomaji wake wanafanana na hadithi hizo
 
Badala ya ku2pa real things mnatupa hadith za kufikirka tafuten mahal pake sio hapa
 

hii ni story au hadithi?

Hii ni Bangua Bongo ya Radio Free Africa!
 

Hii kali aisee!
 
Jf ni wabishi kwa kila k2, jamaa ka-copy mahali inshu yake mmeshaanza ooooh sijui shigongo nn na nn huko.... lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…