Jamaa huyu naona anadalili za kufikia mwisho kwa matusi haya....

kabanga

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
37,421
Reaction score
18,760

Mashabiki wa Diamond Platnumz hawajaipenda picha yake inayomuonesha akionesha kidole cha kati aka ‘the middle finger’.

“Is this the right finger that you are talkin about roma2030 …?” ameandika kwenye picha ya Instagram aliyopiga na rapper Roma Mkatoliki


Hata hivyo picha hiyo imevuta hisia za mashabiki wenye hasira waliomwangushia mvua ya madongo kwenye Instagram ambapo ana followers zaidi ya 36,100 hadi sasa.

Hizi ni baadhi ya comments:

Mafuruzenkonoki: Umekua sasa hivi kijana, hizo ishara haziendani na ulivyo! Change!

Lugnno: Umeimba wimbo ma mc mara matus mara bang umekuwa mc naona inshara ya tus kwenye kdole cmon usizd sana hta km upo mbal utakosea km wkt ule ulvua surual takecare man sijaipenda

luvcartel: Astaghafurullah… juzi ulikua muislam leo ushakua kafir? Subhannallah

ladisdallaz: The middle finger? To u nt to us

mmolezson: Diamond n Roma nyie wote wajinga tu, mtu yeyote mwenye akili timamu and rational awez point finger lik dat then anapoist kwenye social networks ili jamaa waone.

Alice_aswile: Aah hapana diamond,hivyo vitu hapa cio mahali pake loh,hivyo mfanyie demu wako gheto.

Makitoti: Ain’t ryt diamond ….just ain’t ryt, we love ur music Ila that pic!!!!naaaah,haifai
Mmolezson:
Kwa hyo hcho kidole mnatuoneshea sis ee, hv unawakumbka wasanii hpa Tz ambao walikuwa maaruf kulko nyie? Je saiz wko wp ee na wala hawakuwa na tabia za limbuken kma ww free lancer. I hate u mother***


Trofmo: Very disappointin… Ww km Kioo cha jamii unataka tuelewe vip hii picha?! Plz dis z Tz not states! Our culture is decency & dignity!!! Behave..

Chocolatedesweetness: This is too much……..!!! Umeanza kulewa mafanikio eeenhe, ngozi nyeusi taaabu sana, U better apologise and delete this photo before its too late!U shauri tu
Mpekuzi blog
 
Last edited by a moderator:
Yaani anatuonyesha hivi mashabiki wake.?
 
mwachen boss wangu afanye yake
angefanya wayne hapa mngekuwa mnacheka cheka tu..pretenda wakubwa
#WCB for life
 
mwachen boss wangu afanye yake
angefanya wayne hapa mngekuwa mnacheka cheka tu..pretenda wakubwa
#WCB for life
Na fulana zao wanavaa
Diamond aachwe akitaka kuingiziwa kidole makalioni aingiziwe hakuna neno hata akitaka kuingizwa uume wa wanaume aingizwe tu washabiki zake tunampenda pia.
 
Wabongo bana, hiyo ishara si kila mtu na tafsiri yake.....Kwenye movie ya BEAN, Mr Bean anavyoonyesha vidole vya kati (mikono yote miwili) mbona tunachekaaaaa na ushuz.i juu.
 
Wabongo bana, hiyo ishara si kila mtu na tafsiri yake.....Kwenye movie ya BEAN, Mr Bean anavyoonyesha vidole vya kati (mikono yote miwili) mbona tunachekaaaaa na ushuz.i juu.

hebu yaambie haya maj*nga
 
Mkiambiwa anahusika na Sembe mnakataa haya sasa mnajionea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…