FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Ni rafiki yangu anafanya biashara zake mikoa fulani alikuwa na mpenzi wake wakaachana mazoea yalipoanza na mdogo wa ex- wake alikua ananiomba ushauri sana anamkataeje dogo maana dogo alikua anatimba adi ghetto kwa jamaa kupiga story.
Sasa siku jamaa kayatwika kaamua kumrushia vocal mdogo wa ex- toka katupa vocal hajajibiwa kitu akanifuata kuomba ushauri tumshauri vipi uyu GenZ wa bongo anaewaza mapenzi.
Sasa siku jamaa kayatwika kaamua kumrushia vocal mdogo wa ex- toka katupa vocal hajajibiwa kitu akanifuata kuomba ushauri tumshauri vipi uyu GenZ wa bongo anaewaza mapenzi.