...HEHE! 'am blessed' Mwenzio mie Mjane! BTW, wanaume wanatendwa vile vile.
Kama ilikupita, Soma hii;
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/122420-msaada-kwa-mkaka.html
Tena jamaa alinidokeza kwamba jana yake alichelewa sana kurudi nyumbani na alimweleza mkewe kwamba amechoka sana na kazi na hivyo hakumgusa mkewe kabisa! Kupanic kwake ni juu ya kulala mwepesiiiiiiiii!
Mbu ni wewe?haya bwana....mie wkati wangu wa kasheshe home hii ilinitokea, akajua mkewe ana akili ya kushikiwa so alijua hakutakalika kabisa japo tupo kweny matatizo, ilikuwa kinyume, alivyorudi job ckumuuliza lolote, anasalimia mara mbili mbili kuhakiki kama naitika, kilimuuma roho sana alikuja kutoa maelezo mwenyewe baada ya kutaka tuweke mambo sawa, wanaume cjui muwekwe kwenye kundi gani kwa kweli.
Adhabu yako mbaya sana aisee....i wont recomend it for me....
:focus:
Ukizingatia keshi ni 01 april.....ajifanye alikosea kuiwahisha....
...panic ya nini, kwani jana hakulala kwake? amwambie ndio kamtumia yeye (mkewe) ujumbe huo.
Tena mwambie akakamae na kumkazia macho wakati akiyatamka hayo iwapo atashindwa mkumbatia.
Kesi nyepesi nyepesi kama hii, sisi wakongwe ngoja tukae pembeni tupate uzoefu wa vijana wadogo!:help::help::love:
Hapo patamu, kumbe alichelewa na nyumbani eeh,asichoke na kazi mchezo na hivi karudi mwepesi??!!..mwambie tu amekosea vibaya sana na huna la kumshauri, amsikilizie mkewe reaction yake!!..anamaliza mwezi vibaya!!
..khaaa! ...rafiki ni wakati wa dhiki na faraja BelindaJacob jamani, loh!
Ni kweli tena wakati wa matatizo ndiyo rafiki mwema anajulikana..ila siyo matatizo ya kujitakia🙂) Ina mana alipotoka kupunguza uzito kamsevu kwa simu kama wife?!! iweje kachanganya? kweli mbio za muongo ni fupi!!
Bwanaa ehh...tuwaachie wenyewe..TGIF mana leo naona ijumaa sijui why!!
Wanaokoa ndoa...Mnafundishana uovu! Hivi hapa jf kumbe ni darasa la wale wanaoelekea ile njia pana? Your days are numbered!
Kesi nyepesi nyepesi kama hii, sisi wakongwe ngoja tukae pembeni tupate uzoefu wa vijana wadogo!:help::help::love:
Ikifata ushauri wako itakula kwake...muhuni halafu muoga....useless!!! achuchumae aombe msamaha :bored::bored:
duuh!...vizee vya siku hizi, havina msaada kwa vijana ndiyo maana vijana wa chama kile wanavipa kubwa...lol....toa mchango wako uokoe jahaziKesi nyepesi nyepesi kama hii, sisi wakongwe ngoja tukae pembeni tupate uzoefu wa vijana wadogo!:help::help::love: