Jamaa katuma wrong sms kwa mkewe!

Kama wana mazoea ya kutaniana baada ya kutuma sms angempigia simu nakumwambia mpenzi siku moja nikikosea kutuma mesage ya kimada changu na kukutumia wewe kama hiyo sms utafanyaje au vyovyote vile ambavyo yeye anaona inawezekana ilimradi ionekane alituma kwa kusudia na sio kwa kukosea ila siku nyingine asirudie kumtumia dem wake wa nje sms ila awe anampigia ni vizuri zaidi
 
Hakuna anayefundisha mtu uovu hapo...watu wanajribu kuokoa ndoa hapo! Ngoja yakukute ndio utaona umuhimu wa kupata ushauri humu.
Mnaokoa ndoa gani? Hvi umuhimu wa ndoa ni watu kuishi nyumba moja au ni kuheshimu yale makubaliano mliyowekeana toka mwanzo? Tangu hapo hakuitaka ndoa ndiyo maana alitoka nje. Hata mrembe, mpake asali ukweli unabaki pale pale huo ni uovu. Kikubwa ni kubadili tabia na kuacha kuficha uovu! Neno la Mungu linasema Chachu kidogo huchachua donge zima.
 
Kwa experience yangu, na kama ana mke makini (kama mimi) siku zake zinahesabika. Kwani waife atajifanya kamuelewa sana tu ila ajue wazi from now on he is being watched closely. Kwa kifupi ajirekebishe na ahache kabisa kutoka nje. Kwani next time akikamatwa yatafufuka yote na ya hiyo message. Tena nampa miezi miwili tu akiendelea utakuja kutusimulia kwani mwanamke yeyote mwenye akili ataanza kupeleleza kupata evidence, asijeshangaa anawekewa FBI kila anakokwenda bila yeye kujua.
 
kama ni mimi nakataa kabisa kuwa meseji ni yangu ..ntamwambia mama gaude wangu kuwa unajua mitandao hii ya simu na mapromosheni haya network zinaingiliana unakuta meseji zikiwa hewani zinapotea njia maana mkongo wa mawasiliano wa taifa unazidiwa sasa kwa kuwa simu yako hutumi tumi meseji ndo maana zinakuja kwako maana inbox in nafasi..lakini tupige huko Tigo tuwaulize meseji hii imetoka wapi....nikimaliza utetezi wangu navuta cocacola baridi naendelea kuangalia TV kipindi cha mzee wa upako ...issue imeisha hapo
 
Kumbe waume zetu uongo hujifunzia hapa JF
 
Ahahahaah!! Kigogo umeuwa!
 
Mmmmh!
Nyie wanaume mpoje lakini?
Amwambie alimuazima mtu simu yake na hajui alichokifanya.
Akishindwa aseme ukweli kuwa alilala na mwanamke mwingine.
Za mwizi arobaini. Nae amezidi.
Bichwa lake.

nimependa hiyo nyekundu... ha ha haaaaaa
 

waswahili husema tu mboga aina moja kila siku inachosha. Labda alitamani fleva ya pwani.
 
Hizi ni stori za kutunga!!
halafu naona kuna watu wanaleta story kisha JF wanajadili, kuna siku watu watatunga hadith kutoka na mawazo ya wengine.. wtachakachua stori zooote , copy, paSte, edit, mara kitabu hichoo....mhhhhh JF bwana, I LOVU U
 
Husninyo, D A, Lizzy etc Mwajifunza nin toka ktk hz threads? teh! teh!
 
Hapo hakuna ujanja labda apoteze simu na ajitetee kuwa hiyo meseji imetumwa na wezi wake wa simu..
good Idea...akubali hasara,tena hiyo simu ispatikane tena.
 
Hata wadada nao wanajifunza uongo kupitia humuhumu!


Hee! Sasa mlitegemea nini? Tuendelee kudanganywa kwa pipi?
Tunapata experience humu humu!
Halafu baadae mtakuja lalamika humu humu!
 

Hapa ngoma nzito kama usiku wa kuamkia siku ya kutuma sms hakummega mkewe hapo ndo kasheshe.
 
...panic ya nini, kwani jana hakulala kwake? amwambie ndio kamtumia yeye (mkewe) ujumbe huo.
Tena mwambie akakamae na kumkazia macho wakati akiyatamka hayo iwapo atashindwa mkumbatia.

Na kama hakutoa huduma kwa wife siku hiyo asemeje?:disapointed:
 
Na kama hakutoa huduma kwa wife siku hiyo asemeje?:disapointed:


Kwa maelezo yake hakutoa, amechoshwa na kazi, alikuwa bize sana siku huyo!
Huyu arobaini yake imefika, labda mke aamue kuichubulia hiyo ishu. Iko wazi sana.:bored:
 
Mkuu issue ni simple...kwani hukulala nyumban kwa mkeo na ile mambo ya kikubwa hamkupeana? sasa basi gia iwe hiyo na isionyeshe kuwa na wasi wasi atakapokuuliza...wewe ichukulie issue kama mzaha..muulize kwani mapenzi anayokupa si ni kweli matamu. usikatae kama sms haikuwa yake.

 
DA kweli unazeeka vibaya...sasa hujaelewa nini wakati anaeleza kuwa sms ilikuwa itumwe kwa small house shetan akashika hatamu ikatumwa kwa wife sasa waif akairudisha kwa jamaa kwan hakuwahi kutumiwa sms tamu tamu kama zile na pia inawezekana usiku huo hawakuchakachua sasa waif medula oblingata ikacharuka
Nazeeka vibaya huo ujumbe uliforwadiwa na mkewe kutoka wapi?? Nisamehe sijui njaa kama sijaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…