Jamaa ni nini

Jamaa ni nini

Jasmine_

Member
Joined
Jul 23, 2014
Posts
21
Reaction score
2
siku hizi mimi naona neno la jamaa. inaonekana neno ya jamaa kuna maana mengi.

1. Amekwenda kuwatembelea ndugu, jamaa na marafiki. Hapa jamaa ina maana watu ambao una mahusiano nao ya kiukoo(mjomba, shangazi, mpwa, mtoto wa mjomba, mama mdogo n.k)
2. Yule jamaa ni mkrofi sana. Hapa jamaa inamaanisha kumrejelea mtu fulani, labda kwa kiingereza tungesema the 'guy'
3...Kuna nyingine tena? Sijui.
 
1. Amekwenda kuwatembelea ndugu, jamaa na marafiki. Hapa jamaa ina maana watu ambao una mahusiano nao ya kiukoo(mjomba, shangazi, mpwa, mtoto wa mjomba, mama mdogo n.k)
2. Yule jamaa ni mkrofi sana. Hapa jamaa inamaanisha kumrejelea mtu fulani, labda kwa kiingereza tungesema the 'guy'
3...Kuna nyingine tena? Sijui.
 
Jamaa ni sabuni inatengenezwa kenya.

Mtu yeyote usiyemjua jina ni jamaa
 
1. Amekwenda kuwatembelea ndugu, jamaa na marafiki. Hapa jamaa ina maana watu ambao una mahusiano nao ya kiukoo(mjomba, shangazi, mpwa, mtoto wa mjomba, mama mdogo n.k)
2. Yule jamaa ni mkrofi sana. Hapa jamaa inamaanisha kumrejelea mtu fulani, labda kwa kiingereza tungesema the 'guy'
3...Kuna nyingine tena? Sijui.

Bwana Bisansaba, asante sana kwa elezo lako.
sasa ninajua jamaa inamaana matatu. mao ni rafiki, mtu fulani, au watu ambao una mahusiano nao ya kiukoo.
 
Back
Top Bottom