Jamaa uliyenipiga na Chupa ya sere nikiwa natembea service road huku ukiwa kwenye pikipiki Kusudio lako lilikua nini? Ulitaka kuniua nimekukosea nini?

Jamaa uliyenipiga na Chupa ya sere nikiwa natembea service road huku ukiwa kwenye pikipiki Kusudio lako lilikua nini? Ulitaka kuniua nimekukosea nini?

Mlundilwa Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2019
Posts
3,187
Reaction score
4,857
Wakuu mambo vp
Kweli nimeamini kifo tunatembea nacho kama siyo uwepo wa Mungu kwenye hii Dunia sijui kama ningepata hata huu wasaa wa kutype hapa JF.

Majira ya saa 3 usiku
Nikiwa natembea kwa miguu pembezoni mwa barabara( Service Road) kunakitu kilikuja kikatua kwenye Bega langu la kushoto nilihisi maumivu makali sana, kucheki ilikuwa chupa ya serengeti imeangukia pembeni

Ghafla nikaanza kuhisi maumivu makali san ambayo mpaka sasa yanaendelea kuniuma kwenye Bega langu la kushoto

Nikiwa naugulia maumivu ndipo Jamaa mmoja ambae yeye alimuona Fala alienipiga na chupa akaniuliza kwamba kwani jamaa anakujua nikasema yupi akasema si yule aliyekupiga na chupa akiwa amepakiwa kwenye pikipiki, pia baada ya kukupiga aligeuka kukuangalia me nikajua mnafahamiana nikasema simjui, Basi yule jamaa akanisaidia kuninyoosha Bega kisha akaondoka zake nami nikawa najikokota kulekea nyumbani.

Sasa nikuulize wee jamaa uliyenipiga na chupa lengo lako lilikua nini ungenipiga kichwani au kwenye Moyo si ulikua unaniua Wee Mngese nimekukosea nini mimi au ndiyo mashart ya kiganga yaani majini unayoyafuga yanataka Damu sasa umeona uitafute Damu kwa njia hiyo wee maku?
Jamani mbona hii Dunia imejaa waonevu kiasi hiki
 
Wakuu mambo vp
Kweli nimeamini kifo tunatembea nacho kama siyo uwepo wa Mungu kwenye hii Dunia sijui kama ningepata hata huu wasaa wa kutype hapa JF.

Majira ya saa 3 usiku
Nikiwa natembea kwa miguu pembezoni mwa barabara( Service Road) kunakitu kilikuja kikatua kwenye Bega langu la kushoto nilihisi maumivu makali sana, kucheki ilikuwa chupa ya serengeti imeangukia pembeni

Ghafla nikaanza kuhisi maumivu makali san ambayo mpaka sasa yanaendelea kuniuma kwenye Bega langu la kushoto

Nikiwa naugulia maumivu ndipo Jamaa mmoja ambae yeye alimuona Fala alienipiga na chupa akaniuliza kwamba kwani jamaa anakujua nikasema yupi akasema si yule aliyekupiga na chupa akiwa amepakiwa kwenye pikipiki, pia baada ya kukupiga aligeuka kukuangalia me nikajua mnafahamiana nikasema simjui, Basi yule jamaa akanisaidia kuninyoosha Bega kisha akaondoka zake nami nikawa najikokota kulekea nyumbani.

Sasa nikuulize wee jamaa uliyenipiga na chupa lengo lako lilikua nini ungenipiga kichwani au kwenye Moyo si ulikua unaniua Wee Mngese nimekukosea nini mimi au ndiyo mashart ya kiganga yaani majini unayoyafuga yanataka Damu sasa umeona uitafute Damu kwa njia hiyo wee maku?
Jamani mbona hii Dunia imejaa waonevu kiasi hiki
Ulistahili kupigwa chupa maana manenu ya matusi kwao ni kawaida.... Ukiwa msafi huwezi kupatwa na uchafu, na ukiwa mchafu ni rahisi kupatwa na uchafu
 
Wakuu mambo vp
Kweli nimeamini kifo tunatembea nacho kama siyo uwepo wa Mungu kwenye hii Dunia sijui kama ningepata hata huu wasaa wa kutype hapa JF.

Majira ya saa 3 usiku
Nikiwa natembea kwa miguu pembezoni mwa barabara( Service Road) kunakitu kilikuja kikatua kwenye Bega langu la kushoto nilihisi maumivu makali sana, kucheki ilikuwa chupa ya serengeti imeangukia pembeni

Ghafla nikaanza kuhisi maumivu makali san ambayo mpaka sasa yanaendelea kuniuma kwenye Bega langu la kushoto

Nikiwa naugulia maumivu ndipo Jamaa mmoja ambae yeye alimuona Fala alienipiga na chupa akaniuliza kwamba kwani jamaa anakujua nikasema yupi akasema si yule aliyekupiga na chupa akiwa amepakiwa kwenye pikipiki, pia baada ya kukupiga aligeuka kukuangalia me nikajua mnafahamiana nikasema simjui, Basi yule jamaa akanisaidia kuninyoosha Bega kisha akaondoka zake nami nikawa najikokota kulekea nyumbani.

Sasa nikuulize wee jamaa uliyenipiga na chupa lengo lako lilikua nini ungenipiga kichwani au kwenye Moyo si ulikua unaniua Wee Mngese nimekukosea nini mimi au ndiyo mashart ya kiganga yaani majini unayoyafuga yanataka Damu sasa umeona uitafute Damu kwa njia hiyo wee maku?
Jamani mbona hii Dunia imejaa waonevu kiasi hiki
Pole sana ndugu yangu kwa tukio hilo baya. Ila uwasilishaji wako umefanya nizidiwe na kicheko. Pole sana, siyo muungwana huyo aliyekupiga.

Ova
 
Inawezekana ni kisasi labda
1. Umetoka na demu/mke wa mtu
2.Ulimi wako (ulimtukana akawa anakulia timing
3.Mliwahi kukutana kwenye pombe ukamtusi
4.Pikipiki linapita halafu hutaki kulikwepa umekaa njiani
5.Uliwahi kumrusha hela au kumtapeli
 
😆😆😆 hizi ndio nyuzi sasa, ila uyo jamaa msamee bure... Angalau umepigwa nimepata kitu cha kucheka kwa leo nilale
 
😆😆😆 hizi ndio nyuzi sasa, ila uyo jamaa msamee bure... Angalau umepigwa nimepata kitu cha kucheka kwa leo nilale
Mkuu unafurahi kupigwa kwangu ningekufa jee? Acha hizo mambo
 
Inawezekana ni kisasi labda
1. Umetoka na demu/mke wa mtu
2.Ulimi wako (ulimtukana akawa anakulia timing
3.Mliwahi kukutana kwenye pombe ukamtusi
4.Pikipiki linapita halafu hutaki kulikwepa umekaa njiani
5.Uliwahi kumrusha hela au kumtapeli
4. Nilikuwa napita service Road wao walikuwa Barabara kuuu
1. Sijawahi kutoka na mke wa mtu wala demu wa mtu mkuu
3.sinywi pombe mkuu
5. Sijawahi kutapeli mtu mkuu yaani kifupi simjui jamaa
 
Wakuu mambo vp
Kweli nimeamini kifo tunatembea nacho kama siyo uwepo wa Mungu kwenye hii Dunia sijui kama ningepata hata huu wasaa wa kutype hapa JF.

Majira ya saa 3 usiku
Nikiwa natembea kwa miguu pembezoni mwa barabara( Service Road) kunakitu kilikuja kikatua kwenye Bega langu la kushoto nilihisi maumivu makali sana, kucheki ilikuwa chupa ya serengeti imeangukia pembeni

Ghafla nikaanza kuhisi maumivu makali san ambayo mpaka sasa yanaendelea kuniuma kwenye Bega langu la kushoto

Nikiwa naugulia maumivu ndipo Jamaa mmoja ambae yeye alimuona Fala alienipiga na chupa akaniuliza kwamba kwani jamaa anakujua nikasema yupi akasema si yule aliyekupiga na chupa akiwa amepakiwa kwenye pikipiki, pia baada ya kukupiga aligeuka kukuangalia me nikajua mnafahamiana nikasema simjui, Basi yule jamaa akanisaidia kuninyoosha Bega kisha akaondoka zake nami nikawa najikokota kulekea nyumbani.

Sasa nikuulize wee jamaa uliyenipiga na chupa lengo lako lilikua nini ungenipiga kichwani au kwenye Moyo si ulikua unaniua Wee Mngese nimekukosea nini mimi au ndiyo mashart ya kiganga yaani majini unayoyafuga yanataka Damu sasa umeona uitafute Damu kwa njia hiyo wee maku?
Jamani mbona hii Dunia imejaa waonevu kiasi hiki
Pole sana mkuu... lakini umesema wewe hukumuona so usijiwekee asilimia zote kwamba hakujui au hamfaamiani... chamuhimu uwe makini tu and it's better ukakaa uanze kufanya analysis zako maana usikute kuna mtu mlipishana maneno kidogo.
 
Pole sana mkuu hio imewahi kunitokea wakati natoka club afu siku hiyo nilikua nimelewa nikajiaminisha kutembea kwa mguu huku nikiwa na chupa ya dompo nilikutana na watu wawili nikiamini kuwa ni watu tulikuwa nao club ksa maongezi kumbe ni vibaka aisee basi kuna mmoja akaomba anywe nikampatia hatua tano mbele mchezo ulibadirika kumbe wals jamaa ni vibaka basi ile chupa yangu ya dompo yuke kibaka alinipiga nayo kichwani....
 
Back
Top Bottom